Ulemavu ambao watu wanao lakini hawajui kama wao pia ni walemavu

Hiyo namba mbili ndio yenyewe!

Utamu wa chakula apikacho mwanamke ndio utam wa ikulu yake!!

Ukiwa na dem akija geto mwambie apike tu kikiwa kitam ujue na huko kutam na ukiona chuku chuku my friend jua na huko ivo ivo!

Babu aliniambia zamani sana na nikafanya utafiti it's true!
 
Aki na dada wenye matege nao ni walemavu?
Ila ni ulemavu mtamu mno. Ukute guu la bia linatege likisindikizwa na vihips vya uchokozi, acha kabisa.

Akisimama wima ukiangalia kwa nyuma anakuwa na kitu kinaitwa 'bullet hole' acha kabisa.

 
Asilimia kubwa ya watanzania miguu hailingani Kwa urefu na mikono pia. Lakini hawataki kuingia kwenye chama Cha walemavu Tanzania. CHAWATA
 
utakua very byurifuu๐Ÿ˜‚ na kama una stretch marks ndo umemaliza kazi๐Ÿ˜‚
Imagine chibonge kifupii cheusiiiii ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€kina kithembe, mianya na kidimpo๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Kuna mtu umem describe kabisa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ