Ulemavu ambao watu wanao lakini hawajui kama wao pia ni walemavu

Ulemavu ambao watu wanao lakini hawajui kama wao pia ni walemavu

imebidi ni gugu kidogo

imebidi ni gugu kidogo
Na Dimpoz ni kiashiria cha urembo na uzuri .

Kutokana na Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Ohio na Oklahoma huko nchini Canada kwa wadada wenye dimpoz kimegundua mambo yafuatayo juu yao.

  1. Utafiti umebainisha kuwa wadada wenye dimpoz si aina nzuri ya kuoa yaani wadada hawa si ‘Wife Material’ kutokana kwamba hawatulii kwenye mahusiano na huongoza kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja, lakini pia si wazuri kutunza ndoa zao.
  2. Lakini wadada hawa wanasifika kwa kupika chakula kitamu licha ya kwamba hawana sifa za kuolewa.
Hiyo namba mbili ndio yenyewe!

Utamu wa chakula apikacho mwanamke ndio utam wa ikulu yake!!

Ukiwa na dem akija geto mwambie apike tu kikiwa kitam ujue na huko kutam na ukiona chuku chuku my friend jua na huko ivo ivo!

Babu aliniambia zamani sana na nikafanya utafiti it's true!
 
Aki na dada wenye matege nao ni walemavu?
Ila ni ulemavu mtamu mno. Ukute guu la bia linatege likisindikizwa na vihips vya uchokozi, acha kabisa.

Akisimama wima ukiangalia kwa nyuma anakuwa na kitu kinaitwa 'bullet hole' acha kabisa.

1684251011519.png
 
Asilimia kubwa ya watanzania miguu hailingani Kwa urefu na mikono pia. Lakini hawataki kuingia kwenye chama Cha walemavu Tanzania. CHAWATA
 
ha..ha..ha..najaribu kufikiria kabinti kakike keusi (age25-30) flani karefu kenye uso wa yai kamevaa nguo zake za usaili sketi na blauzi nywele zake kabana Ji mong kikapitishwa kibanio akismile dipoz zinavyompendeza halafu unaniambia mlemavu! acha kabisa huu wivu wako tu!
Kuna mtu umem describe kabisa😂😂
 
Back
Top Bottom