Ulevi na uadilifu wa ndoa....

kazin lazima umemchapa mpango mzima kibao jana wewe

Maty hujambo? (missed you!)

Jana nilikua napimiwa bia kwenye glasi...mpimaji mpango mzima...sasa ningekataje netweki nimzabe kibao?
 
muheshimiwa spika naunga mkono hoja....

MWANANCHI WA K AWAIDA NDO ANAEUMIA!
by the way:leo ni pale pale pa jana!ijumaa hii bana...PLEASE COPY TO ALL
Mwananchi wa kawaida unamfanyia hivyo?...........Hatukubali,
 

natamani nibadili jinsia nikuoe mbona ningepata raha mie mwe
 
Maty hujambo? (missed you!)

Jana nilikua napimiwa bia kwenye glasi...mpimaji mpango mzima...sasa ningekataje netweki nimzabe kibao?
usilete ujanja ujanja wako hapa! unafikiri unaweza ku-miss people arround as you please?
Tutaonana kikaoni.
 
Maty hujambo? (missed you!)

Jana nilikua napimiwa bia kwenye glasi...mpimaji mpango mzima...sasa ningekataje netweki nimzabe kibao?

mpango mzima jana ulikutait ee inabidi tar 26 atuachie na sie mpango wa nje bana lol(mic u too mwaaaa watoto wasione)
 
Labda usitokee kabisa.........huwezi kuvunja :grouphug: ya wananchi wa kawaida kwa whatever reason uliyonayo.
 
usilete ujanja ujanja wako hapa! unafikiri unaweza ku-miss people arround as you please?
Tutaonana kikaoni.

Naonewa, nadhalilishwa....... kuna agenda ya kuvuliwa uongozi?
 

uuuuuwwwiiiii
hichi ndo kituambacho naomba Mungu kisije tokea maishani mwangu....
Kwa kweli nawaonea huruma sana wakina mama ambao wanakubwaga na hii mikasa..
Mungu atusaidie tu...
 
uuuuuwwwiiiii
hichi ndo kituambacho naomba Mungu kisije tokea maishani mwangu....
Kwa kweli nawaonea huruma sana wakina mama ambao wanakubwaga na hii mikasa..
Mungu atusaidie tu...

Ubaguzi huo...
 
mmh umeongea mema.....
ya kweli zaid...akuna cha raisi kila kitu ni muhimu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…