- Thread starter
- #61
kazin lazima umemchapa mpango mzima kibao jana wewe
Maty hujambo? (missed you!)
Jana nilikua napimiwa bia kwenye glasi...mpimaji mpango mzima...sasa ningekataje netweki nimzabe kibao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazin lazima umemchapa mpango mzima kibao jana wewe
Mwananchi wa kawaida unamfanyia hivyo?...........Hatukubali,muheshimiwa spika naunga mkono hoja....
MWANANCHI WA K AWAIDA NDO ANAEUMIA!
by the way:leo ni pale pale pa jana!ijumaa hii bana...PLEASE COPY TO ALL
najua hakuna kitu kirahisi ktk maisha,kila kitu ni kigum ,hata dating pia ni ngum tena sana lkn pia usikubali kila kitu ni kigumu kwakuwa ni kigumu,unaweza ukawa ni mtu pekee wa kufanya kitu kigum kuwa chepesi,najua sijafika huko na ugum uko sana lkn tukiachana na ndoa za sasa za ku copy na kupaste,bado kuna ndoa nyingi zilizopitia ugum zaidi ya hii ya mlevi,na bado wanapendana,heshimiana na kuonekana ni vijana yappo ni wazee,wazazi wetu walipitia meeeengi magum lkn walifika walipotaka kufika,kila kitu ni uvumilivu,na upendo daima,lakini Mungu ni mweza ya yote hasa ukumshirikisha ktk hili,ulitaka wapigane na kuwekana makovu zaidi?Mume mwema hutoka kwa bwana kama Mungu ataniletea mlevi naamini anamakusudi na mm ya kumbadilisha si asiwe mlevi bali awe mnywaji kiasi.
usilete ujanja ujanja wako hapa! unafikiri unaweza ku-miss people arround as you please?Maty hujambo? (missed you!)
Jana nilikua napimiwa bia kwenye glasi...mpimaji mpango mzima...sasa ningekataje netweki nimzabe kibao?
Usibadili bana! mimi ni copy halisi ya Pearl isipokuwa jinsia. PLEASE MARRY ME.natamani nibadili jinsia nikuoe mbona ningepata raha mie mwe
Maty hujambo? (missed you!)
Jana nilikua napimiwa bia kwenye glasi...mpimaji mpango mzima...sasa ningekataje netweki nimzabe kibao?
Usibadili bana! mimi ni copy halisi ya Pearl isipokuwa jinsia. PLEASE MARRY ME.
Mimi sio mlevi, huwa nakunywa Tanzania Distilaries kidogo tu.hahahaaaaaaa naogopa kunaswa kibao bana labda uniporomisi utaacha ulevi
usilete ujanja ujanja wako hapa! unafikiri unaweza ku-miss people arround as you please?
Tutaonana kikaoni.
Mme karudi nyumbani chakari .netwek imekata ..mke anampokea mme wake na kumvua nguo ili amlaze kitandani
Mme: We ma hick hick maaya hick hick we maaya..niashe hick hick .nashema niashe hick hick .nampenda mke wangu
Kinafata kibao kikal kinachomwachia mamsapu alama ya kudumu katika risepsheni yake .
Ipi itakua reaction ya mamsapu?
Hapa nazungumzia ulevi na uadilifu....
Nawatakia maandilizi mema ya ujio wa Masiha....mbege na bia kwa wingi!
uuuuuwwwiiiii
hichi ndo kituambacho naomba Mungu kisije tokea maishani mwangu....
Kwa kweli nawaonea huruma sana wakina mama ambao wanakubwaga na hii mikasa..
Mungu atusaidie tu...
mmh umeongea mema.....najua hakuna kitu kirahisi ktk maisha,kila kitu ni kigum ,hata dating pia ni ngum tena sana lkn pia usikubali kila kitu ni kigumu kwakuwa ni kigumu,unaweza ukawa ni mtu pekee wa kufanya kitu kigum kuwa chepesi,najua sijafika huko na ugum uko sana lkn tukiachana na ndoa za sasa za ku copy na kupaste,bado kuna ndoa nyingi zilizopitia ugum zaidi ya hii ya mlevi,na bado wanapendana,heshimiana na kuonekana ni vijana yappo ni wazee,wazazi wetu walipitia meeeengi magum lkn walifika walipotaka kufika,kila kitu ni uvumilivu,na upendo daima,lakini Mungu ni mweza ya yote hasa ukumshirikisha ktk hili,ulitaka wapigane na kuwekana makovu zaidi?Mume mwema hutoka kwa bwana kama Mungu ataniletea mlevi naamini anamakusudi na mm ya kumbadilisha si asiwe mlevi bali awe mnywaji kiasi.
Ubaguzi huo...
Hata vipotabo vinanguvu.Nimeelewa kwa nini tunapenda vipotabo....
mmh umeongea mema.....
ya kweli zaid...akuna cha raisi kila kitu ni muhimu...
mmmhhhh ati nini????
Hata vipotabo vinanguvu.
Habari ya wakti dadammh umeongea mema.....
ya kweli zaid...akuna cha raisi kila kitu ni muhimu...
bado wewe! mpaka utoe lami kwanzaNimeona mchango wako basi wikiendi yangu imeanza....
bado wewe! mpaka utoe lami kwanza