Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Sisi maveteran nakumbuka tukiwa shule tulikua mpaka na mashindano ya nani anaweza kurusha mbali basi mnajipanga mstari watu kama watano kazi inaanza

Ujana una mengi hakikisha kabla hujatoka uwe umefanya mengi pia
 
Binafsi nimeanza mpango mkakati wa kuacha mwaka huu, na mpk kufikia sasa naona matumaini. Inawezekana hakuna madhara ya moja kwa moja ya uzazi, lakini yapo hususan ya saikolojia, hisia, ulaibu n.k
Kwa hio unawashauri vijana waache au waendelee?
 
Mi nilijifundisha mbona nikiwa na 10 years (idle mind devil's workshop) mda mwingine najionaga genius maana nilikuja kujua napiga nyeto after 3 years 2016 apo nipo form 1 ndo nilipokuwa napeleka moto Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
2016 uko 4m nyoyaaa, afu unajibizana na sisi humu ndani.
Wallah tuna tukanana na watoto wetu wa kuwazaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
2016 uko 4m nyoyaaa, afu unajibizana na sisi humu ndani.
Wallah tuna tukanana na watoto wetu wa kuwazaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu vipi na wewe unapiga peresopereso?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…