Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Sisi maveteran nakumbuka tukiwa shule tulikua mpaka na mashindano ya nani anaweza kurusha mbali basi mnajipanga mstari watu kama watano kazi inaanza

Ujana una mengi hakikisha kabla hujatoka uwe umefanya mengi pia
Mlitisha sana
 
Binafsi nimeanza mpango mkakati wa kuacha mwaka huu, na mpk kufikia sasa naona matumaini. Inawezekana hakuna madhara ya moja kwa moja ya uzazi, lakini yapo hususan ya saikolojia, hisia, ulaibu n.k
Yeah ni kwel
 
2016 uko 4m nyoyaaa, afu unajibizana na sisi humu ndani.
Wallah tuna tukanana na watoto wetu wa kuwazaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ww ni mwanachama?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa chuo sio sababu
Je ni level gan, je km masters au PhD?

22 ?? Mdogo angu wa 3 kutoka mie.
Inategemea sas lbd mpo mapacha watatu[emoji23]
 
Back
Top Bottom