Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Ulianzaje kujichua(punyeto)?

Kuna mwanamke mrembo nilipishana naye barabarani, nilipofika ndani nilianza kumvutia hisia nikijikuta 'nimempunyetukia'.Tangia hapo mpaka leo nimeshindwa kuacha huu mchezo mchafu.

Mwaka wa kumi huu natimiza[emoji26]
Kumpunyetukia!Duuu!!!
 
Kama ni mpenda ngono sana jitahidi uwe unatumia tu condom kwa ufasaha. Kwasababu ukisema uache nyeto uwe na demu nako ni hatari zaidi hasa kama hujamuoa. Kwa wale wanunuzi wa malaya muhimu ni kuvaa tu kinga... ukijisahau ndo IMEISHA HIYO. Bahati nzuri malaya nao wako very STRICT kwenye kuvaa condom.
 
Tulipita njia moja

Yah sikuwai kuwaza kama nitapiga pull nilikuwa nawashangaa sana wanao piga pull hila akatokea huyo dem akaninyegesha mpka akanifundisha kupiga pull na ni mwaka jana tu mwishoni ndio nimeanza

Nachukia sana af yule dem kaona mnogo akijisikia kuwa ana nyege ananipigia video call nataman nimuache
 
Back
Top Bottom