Mapenzi Kudadenya
Member
- Apr 25, 2020
- 33
- 61
Kwan nimesema nataka nianze gheto!?nimesema nimewaza mbaliMiaka 17 acha jocking
Nenda kuanzia kisasa hadi nzuguniDodoma ghetto changamoto sana kudaka! Na bajeti ya kupata room la 50k-60k
kwa mwezi ntalipia miezi 3 mwezi wa sita hapo! Lisiwe mbali na road ya kuelekea town kozi ndio napigia harakati zangu huko!
0754685125/0625239074 msaada kwa wenyeji nifanikishe kuhamia ghetto na mimi.
Bado tunadaka wa kudakaUzi umepooza sana wakuu...Hakuna testimonies zingine mabaharia?
Tupe Update la Gheto kakaMiezi 9 iliyopita wakati nasoma huu uzi kwa mara ya kwanza sikuw na getto...nilihamasika sana na kupania kuwa na getto langu...leo nipo getto...naenjoy TRACE MUSIC, TAARIFA YA HABARI na games tofauti za soka...hasira zinazidi kuzidi na naamini miezi 6 ijayo nitakuwa mbali zaidi...GOD BLESS.
Naendelea vizuri kaka..Mungu ni mwema..Tofauti ya jana na leo inaonekana.Tupe Update la Gheto kaka
niende kwenye mada moja kwa moja, baada ya kujichanga sana nimefanikiwa kupata pesa ya kuanza maisha ya kujitegemea
Pesa ya kodi (chumba 30000/= ) kwa mwezi
Napatikana dar es salaam,
Kitanda, godoro, n.k....
Shida yangu ni hii ndugu jamaa na marafiki
Nahitaji vitu vya ndani vilivyotumika, bure au kwa malipo kidogo
Mwenye hivyo vitu ambavyo hana kazi navyo au amekosa kwa kuhifadhi, naombeni mumsaidie mdogo wenu
Au kama kuna mtu anajua sehemu zinapouzwa vitu used hapa dar, naomba nisaidie connection
Kwa wale wenye navyo hivyo vitu, kwa bei za kizalendo zaidi naomba mnishike mkono
Charity begins at home
Wakubwa shikamoni wadogo Marahaba, lika langu mambo ni poa tu
Lako liko wapi babe?Na zoom ghettoz za watu tyuuuh.
Headquarter
Mixer kamziki ka kizushi[emoji3]View attachment 1844902
Mdogo mdogo mambo yanakaa mkaoNmekupa like mkuu[emoji23]
Mkuuu Mambo sio mchezoHeadquarter
Mixer kamziki ka kizushi[emoji3]View attachment 1844902
Kila lakher mkuuniende kwenye mada moja kwa moja, baada ya kujichanga sana nimefanikiwa kupata pesa ya kuanza maisha ya kujitegemea
Pesa ya kodi (chumba 30000/= ) kwa mwezi
Napatikana dar es salaam,
Kitanda, godoro, n.k....
Shida yangu ni hii ndugu jamaa na marafiki
Nahitaji vitu vya ndani vilivyotumika, bure au kwa malipo kidogo
Mwenye hivyo vitu ambavyo hana kazi navyo au amekosa kwa kuhifadhi, naombeni mumsaidie mdogo wenu
Au kama kuna mtu anajua sehemu zinapouzwa vitu used hapa dar, naomba nisaidie connection
Kwa wale wenye navyo hivyo vitu, kwa bei za kizalendo zaidi naomba mnishike mkono
Charity begins at home
Wakubwa shikamoni wadogo Marahaba, lika langu mambo ni poa tu
Canal+ Decoder.
Bei 22,000/= ila kinakuja ba kifurushi Cha mwenzi. 43,000/=
Jumla Ni 65,000/=
Hapo unaangalia mpira ligi kubwa zote ulimwenguni.
Nilisahau kutumia DSTv kitambo.