Mudala
Member
- Nov 26, 2017
- 89
- 170
Daah Uzi mkaali kinoma nineufuatilia kuanzia mwanzo yaani mwaka 2018 Hadi leo 2020 .ukweli ni kwamba huu Uzi umekuwa inspirational saana kwa mabaharia wengi kujitosa katika kuepukana na dharuba za kukaa majumbani kwa wazazi au kwa ndugu
Nimesoma Kuna mwana mmoja aliamua baada ya kuona kutumwa nyanya na dharau kibao kuzidi kutoka kwa wazazi
In reality wengi wamepitia na wanajua visanga na tabuvza kukaa na wazee wetu hasa wa kiswahili majumbani japo wengi ndipo tulipolelewa lakini Kuna muda unafika kidume mambo yamekuzidi unaamua kupambana kivyako.
Pia Kuna changamoto flani hivi ambayo wengi wamepitia Ile ya mzazi au wazazi kuona kwamba bado watakiwa ukae nyumbani kwa sababu tu akuone au akutume kumbe wewe Hali Ile hunipendi na inakukera huku ukicheki umri unazidi kusonga bila maendeleo yoyote Yale Sasa hapo ndipo kidume unapojilipua ama kujitosa huku ukiwa huskilizi lolote Lile kutoka kwa mtu . Sometimes unaweza Kuonekana mbaya lakini ule unakuwa ndo mwanzo wako na baada ya muda wazazi ndipo wanapoelewa Nini ulikusudia pindi uliposepa kivyako.Changamoto hii huwafikia Sana wale ambao makwao wazazi Wana uwezo flani hivi wa kukufunulisha mahotpoti kila siku yaani wewe wadogo zako wakifunika kawa wewe unatumika kwa kuuliza bado Nani ambaye bado ili ukipiga uondoshe lawama maana hukawii kuwamisisha madogo msosi .
Mwisho wa Siku unapangiwa Hadi zamu za kuosha vyombo daah wakuu tupambane tujijenge kuishi na wazazi sehemu moja jaaau kinoma yaani
Mimi Ni mmojawapo ambaye huu Uzi umeniispire saaaanaa na nipo njiani kukamilisha mipango ya kuhamia maghetoni kwangu are kila afe beki mpira haurudi golini.
Shukran saana kwa mkuu Walec kutukutanisha Wana kwa Uzi huu adhwiimu kabisa .Hakika umeinspire vijana wengi kuthubutu .
Nimesoma Kuna mwana mmoja aliamua baada ya kuona kutumwa nyanya na dharau kibao kuzidi kutoka kwa wazazi
In reality wengi wamepitia na wanajua visanga na tabuvza kukaa na wazee wetu hasa wa kiswahili majumbani japo wengi ndipo tulipolelewa lakini Kuna muda unafika kidume mambo yamekuzidi unaamua kupambana kivyako.
Pia Kuna changamoto flani hivi ambayo wengi wamepitia Ile ya mzazi au wazazi kuona kwamba bado watakiwa ukae nyumbani kwa sababu tu akuone au akutume kumbe wewe Hali Ile hunipendi na inakukera huku ukicheki umri unazidi kusonga bila maendeleo yoyote Yale Sasa hapo ndipo kidume unapojilipua ama kujitosa huku ukiwa huskilizi lolote Lile kutoka kwa mtu . Sometimes unaweza Kuonekana mbaya lakini ule unakuwa ndo mwanzo wako na baada ya muda wazazi ndipo wanapoelewa Nini ulikusudia pindi uliposepa kivyako.Changamoto hii huwafikia Sana wale ambao makwao wazazi Wana uwezo flani hivi wa kukufunulisha mahotpoti kila siku yaani wewe wadogo zako wakifunika kawa wewe unatumika kwa kuuliza bado Nani ambaye bado ili ukipiga uondoshe lawama maana hukawii kuwamisisha madogo msosi .
Mwisho wa Siku unapangiwa Hadi zamu za kuosha vyombo daah wakuu tupambane tujijenge kuishi na wazazi sehemu moja jaaau kinoma yaani
Mimi Ni mmojawapo ambaye huu Uzi umeniispire saaaanaa na nipo njiani kukamilisha mipango ya kuhamia maghetoni kwangu are kila afe beki mpira haurudi golini.
Shukran saana kwa mkuu Walec kutukutanisha Wana kwa Uzi huu adhwiimu kabisa .Hakika umeinspire vijana wengi kuthubutu .