Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
Sikupingi mzeeDgo kwa kua bado uko chuo,hebu subir umalize. Maana ukienda ghetto utamgharimu broo coz Kila kitu unategemea kwake. Raha ta ghetto uwe na michongo yako binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupingi mzeeDgo kwa kua bado uko chuo,hebu subir umalize. Maana ukienda ghetto utamgharimu broo coz Kila kitu unategemea kwake. Raha ta ghetto uwe na michongo yako binafsi.
Sawaa mzee baba vumilia tu kidogo.Sikupingi mzee
Watu wanadhani gheto ni sehemu ya kumbato tuVijana wa Jf wanawaza wapange wageuze magheto yao madanguro [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] dahTatzo wanawake nao wanavutika kirahisi ukiwa na getto kali. Utaskia nkipata mda ntakuja kukusalimia, na muda atapata jioni[emoji23]... Baadae unatunukiwa tunda kimasihara
Sehemu nayolala mimi naieshimu sana yani. lakini vijana naona sehemu zao za kulala ni machinjioHawajui ghettos n mahala patakatifu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapewe somo gheto sio sehemu ya kufanya uchafu ndo maana kuna magestWatu wanadhani gheto ni sehemu ya kumbato tu
Pumbavu sana[emoji1787][emoji1787]
Mimi wakati naanza kazi 2019 nilipata demu mmoja mchaga, yeye alikuwa ashapiga hatua kwahiyo alikuwa na geto lake. Akanambia wakati najipanga kuhamia kwangu nisogee nikae kwake. Nilikaa pale almost miezi 2 nikaja kugundua bosi pia alikuwa anakula mbususu. Kwa hasira kesho yake nikatoka nikatafuta chumba mbali na pale alipokuwa amepanga huyo mwanaharamu nikaanza maisha na nilikuwa nalipa 70k. Kiukweli huyo bidada ndo alinipa hasira ya kuishi geto kwa jasho langu maana nilikuwa napata woga nilipokuwa nawaza maisha ya kupanga.
Taratibu napambanaView attachment 2035252View attachment 2035253
Bila hivyo kwa uwoga wako,hadi Leo ungekuwa unaishi was huyo mchagaMimi wakati naanza kazi 2019 nilipata demu mmoja mchaga, yeye alikuwa ashapiga hatua kwahiyo alikuwa na geto lake. Akanambia wakati najipanga kuhamia kwangu nisogee nikae kwake. Nilikaa pale almost miezi 2 nikaja kugundua bosi pia alikuwa anakula mbususu. Kwa hasira kesho yake nikatoka nikatafuta chumba mbali na pale alipokuwa amepanga huyo mwanaharamu nikaanza maisha na nilikuwa nalipa 70k. Kiukweli huyo bidada ndo alinipa hasira ya kuishi geto kwa jasho langu maana nilikuwa napata woga nilipokuwa nawaza maisha ya kupanga.
Taratibu napambanaView attachment 2035252View attachment 2035253
sema mademu wa kichaga wanazingua sana kudadeki kasoro sister zangu tuuMimi wakati naanza kazi 2019 nilipata demu mmoja mchaga, yeye alikuwa ashapiga hatua kwahiyo alikuwa na geto lake. Akanambia wakati najipanga kuhamia kwangu nisogee nikae kwake. Nilikaa pale almost miezi 2 nikaja kugundua bosi pia alikuwa anakula mbususu. Kwa hasira kesho yake nikatoka nikatafuta chumba mbali na pale alipokuwa amepanga huyo mwanaharamu nikaanza maisha na nilikuwa nalipa 70k. Kiukweli huyo bidada ndo alinipa hasira ya kuishi geto kwa jasho langu maana nilikuwa napata woga nilipokuwa nawaza maisha ya kupanga.
Taratibu napambanaView attachment 2035252View attachment 2035253
Sure mkuu. Walio wengi wanaznguasema mademu wa kichaga wanazingua sana kudadeki kasoro sister zangu tuu
No, ningehama coz hadi naondoka kwake nilikuwa na 730k na goal ilikuwa ikifika 1m nasepa. Sema aliniwahisha[emoji2]Bila hivyo kwa uwoga wako,hadi Leo ungekuwa unaishi was huyo mchaga
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2] mkuu uswahilini wageni wa kuangalia huba hawakosi. Mm mpenzi wa Investigation DiscoveryUnaangalia tamthilia ya Huba[emoji16]
sanaSure mkuu. Walio wengi wanazngua
Unapata wapi mda wa kupika maharage Mkuu?Misosi ya gheto mazeeView attachment 2035121
Madanguro ya ufuska, [emoji23][emoji23][emoji23]Sehemu nayolala mimi naieshimu sana yani. lakini vijana naona sehemu zao za kulala ni machinjio
[emoji2][emoji2][emoji2] mkuu uswahilini wageni wa kuangalia huba hawakosi. Mm mpenzi wa Investigation Discovery