Kuteseka Maganga
Member
- Jun 12, 2021
- 61
- 62
mi baba angu wa kufikia alinifukuza, nikasepa afu alijua nitshangaika kumuomba nirudi home, nilifurahi coz home siku zote hasa mama hakupenda mtu kupanga wakati pa kukaa papo.... uzur nilivokuwa home nilikuwa najitahid tu kununua vitu vya ndani yaan vyote muhimu geto nilifikia kununua TV tu. maisha yakasonga,now ni mama nzuri tu
Gheto tamu[emoji39]View attachment 2085090
Kila kitu ni hatua....
Pesaa inahitaji nidhamu sana
Itunze...ununue vitu vyako mwenyewe
Kuna siku sote humu tutakua tunasehemu yakupaita nyumbani
Gheto tamu[emoji39]
Yaan kana. Huna mpango wa kurudi home nenda kapange, chukua chumba Cha Bei Chee kwa. Kuanza navyo. Kama support Ni ndogo kua makini Sana mdogo angu.Mkuu sitaki kurudi home tena.Kuhusu mambo ya bebezi sijatilia maanani kihivyo,bado naweza piga msuli.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kupiga Anza kanoon so poaKama mwenyewe nenda magomen karibia na manzese(njia hyo yanapopita mwendokasi) nauli bei Chee ila ukitaka kigamboni daily utapiga Anza kanoon au laa ulazimishe kupanda gari mbili zisizo na lazima.
Anza kanoon Ni kwa mguuu mzee babaMkuu mwendokasi nauli si 650.Nikipiga Anza kanoon bei ngapi?
sio mchezo hyo ruti yake ilivyo ndefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kupiga Anza kanoon so poa
Anza kanoon Ni kwa mguuu mzee baba
...cha 50k hapo vipi?Yaan kana. Huna mpango wa kurudi home nenda kapange, chukua chumba Cha Bei Chee kwa. Kuanza navyo. Kama support Ni ndogo kua makini Sana mdogo angu.
Kwa dar uhakika kwa mikoani huku Hilo ni ghetto kali, chumba na sebule. Tails, umeme na maji uhakika na liko katikati ya mji...cha 50k hapo vipi?
Nii Dar mkuu.Kwa dar uhakika kwa mikoani huku Hilo ni ghetto kali, chumba na sebule. Tails, umeme na maji uhakika na liko katikati ya mji
Sio kila mkoa buddah utaingia mikoa mingine utasimama na 50k yako kama mnara wa askari hupati chumba na sebule center ya mji ng'oooKwa dar uhakika kwa mikoani huku Hilo ni ghetto kali, chumba na sebule. Tails, umeme na maji uhakika na liko katikati ya mji
Vip kuhusu gharama za umeme...Wikiendi nikiwa free nachemsha maharage kilo mbili ,nyama kilo 3/4 hivi kuna visado naweka humo hayo makitu yanakaa kwenye freezer
Kazi yangu ni kusaga nyanya na brenda na kukata vitunguu ,hoho na karoti naunga mboga zangu safi nakuka wali au ugali .
Freezer naweka juice mimi ni mdau wa fresh juice
Kikubwa napenda sana misosi ya kupika home fresh
Huko kwenye vibabda vya mama ntilie tunakishwaga sana makorokocho na maexpaya [emoji1787]
Wee jichanganye hivyo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gheto tamu[emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kila mkoa buddah utaingia mikoa mingine utasimama na 50k yako kama mnara wa askari hupati chumba na sebule center ya mji ng'ooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza lini kutaman ghettoz za wajuba? Acha mara 1 hiyo tabia.@cocastic Niombee[emoji23]
Umeona eeeh,ghato lina rangi tamu[emoji39]Mywangu we achana naeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[mention]cocastic [/mention] hanipendagi tu[emoji23][emoji23]