Ulianzaje kukaa gheto?

Pacha unabania watu riziki...sasa mimi nakukaribisha wewe uje upajue kwa pacha ako
Oooooooh pacha hivi ulipotelea wapi jomoneee? [emoji7][emoji7][emoji7]
Unajua naku mic had naumwaa?plz weekend hii nataka nije ghetton kwako kutazama series ya Kombolela. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Good mzee, Mambo huanza hivyo. Hata hivyo umeanzia vzr mwamba, ghetto liko poa lina marumaru hope na ceiling board ipo.
Kwa mwanzoni ongeza sabufa mkuu, na TV ili usiwe mpweke sana. Ukikaa alone unakua hauboreki Sana, si unajua Kuna time unakuta unapenda kua alone ghetto bila bugudha za watu huko nje.
 
Tv sabufa vipo kasoro kitanda tu
 

Aaaah mywangu [mention]mawardat [/mention] asione hi utaniiibiaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Keep it up boss
 
Mkuu....kwani mtu kuwa mgeni sehemu yoyote ni dhambi?.....kila mtu alikuwa mgeni au mshamba siku ya kwanza....afu kingine, usimu underrate mtu kiasi hiki....Hatujuani ila naona arrogance ya kupitiliza kwenye mwandiko wqko....BADILIKA mkuu.....Ndio maanq kuna jukwaa hili mtu anauliza na kujibiwa kile anahitaji kufahamu....
 
Oooooooh pacha hivi ulipotelea wapi jomoneee? [emoji7][emoji7][emoji7]
Unajua naku mic had naumwaa?plz weekend hii nataka nije ghetton kwako kutazama series ya Kombolela. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ nipo Pacha...sema majukumu na harakati ni nyingi....Maisha yapo kasi sana....Ukinimiss sana kama hivi mwenyewe najikuta nakumiss mara mia....njoo PM nikuelekeze njia πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…