Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
kuna wahuni wakiona dingi anapesa na kila siku home ni mwendo wa kula kuku, hawachomoki kwao ng'o. Wanajitetea kwa kusema;
Hata Yesu yupo kwa Baba yake.
Hata Yesu yupo kwa Baba yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mlongo
10000k [emoji23][emoji23][emoji23]Sawa sponsa wataka kunipa ngap?
Akaaah nijibu mie, ili nijue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swali gumu hilii[emoji23][emoji23]
Oooooooh pacha hivi ulipotelea wapi jomoneee? [emoji7][emoji7][emoji7]Pacha unabania watu riziki...sasa mimi nakukaribisha wewe uje upajue kwa pacha ako
Mwanzo mgumu.Tunafyatua tuuView attachment 2088536
Good mzee, Mambo huanza hivyo. Hata hivyo umeanzia vzr mwamba, ghetto liko poa lina marumaru hope na ceiling board ipo.Tunafyatua tuuView attachment 2088536
Tv sabufa vipo kasoro kitanda tuGood mzee, Mambo huanza hivyo. Hata hivyo umeanzia vzr mwamba, ghetto liko poa lina marumaru hope na ceiling board ipo.
Kwa mwanzoni ongeza sabufa mkuu, na TV ili usiwe mpweke sana. Ukikaa alone unakua hauboreki Sana, si unajua Kuna time unakuta unapenda kua alone ghetto bila bugudha za watu huko nje.View attachment 2088967
Good mzee, Mambo huanza hivyo. Hata hivyo umeanzia vzr mwamba, ghetto liko poa lina marumaru hope na ceiling board ipo.
Kwa mwanzoni ongeza sabufa mkuu, na TV ili usiwe mpweke sana. Ukikaa alone unakua hauboreki Sana, si unajua Kuna time unakuta unapenda kua alone ghetto bila bugudha za watu huko nje.View attachment 2088967
Okey good brooTv sabufa vipo kasoro kitanda tu
Jiandae tu mwamba ununue kitanda Cha maaana Ni Bora utumie mda lkn ukinunua huji kubadilisha tena. Mm wakati naanza nilinunua Cha Bei rahic (70k) Sasa kubadilisha imekua jau kweli, hela napata lkn mipango Ni mingi.Tv sabufa vipo kasoro kitanda tu
Gerezani - makumbusho....Posta - makumbusho....Au mwendo kasi.....Sana sana panda Posta - MakumbushoDaladala za kupanda zimeandikwaje hapo magomeni kwenda dit?
Mkuu....kwani mtu kuwa mgeni sehemu yoyote ni dhambi?.....kila mtu alikuwa mgeni au mshamba siku ya kwanza....afu kingine, usimu underrate mtu kiasi hiki....Hatujuani ila naona arrogance ya kupitiliza kwenye mwandiko wqko....BADILIKA mkuu.....Ndio maanq kuna jukwaa hili mtu anauliza na kujibiwa kile anahitaji kufahamu....Kuna vtu vingne sio vya kuuliza hapa asee unajichoresha kwamba ww n mgeni wa hili jiji. Yaan unashndwa hata kusimama hapo ktuoni ukamuuliza mtu yyte gari za DIT. sasa kwa dzaini hii utapaweza DIT kweli?? Maana CAT 1 tu unapewa website afu unaambiwa utafute source code. Sasa kama unashndwa hata kutambua gari za DIT, je would u be able to find source code??
😃😃😃 nipo Pacha...sema majukumu na harakati ni nyingi....Maisha yapo kasi sana....Ukinimiss sana kama hivi mwenyewe najikuta nakumiss mara mia....njoo PM nikuelekeze njia 😀Oooooooh pacha hivi ulipotelea wapi jomoneee? [emoji7][emoji7][emoji7]
Unajua naku mic had naumwaa?plz weekend hii nataka nije ghetton kwako kutazama series ya Kombolela. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiandae tu mwamba ununue kitanda Cha maaana Ni Bora utumie mda lkn ukinunua huji kubadilisha tena. Mm wakati naanza nilinunua Cha Bei rahic (70k) Sasa kubadilisha imekua jau kweli, hela napata lkn mipango Ni mingi. View attachment 2089351
[emoji23][emoji23]anza kanoon ndo nini?Kama mwenyewe nenda magomen karibia na manzese(njia hyo yanapopita mwendokasi) nauli bei Chee ila ukitaka kigamboni daily utapiga Anza kanoon au laa ulazimishe kupanda gari mbili zisizo na lazima.
Kupiga ngoko mzee[emoji23][emoji23]anza kanoon ndo nini?
Siriaz?Natafuta geto, mitaa ya tabata, single room.. offer yangu kuanzia 25k - 40k.. chumba kiwe kikubwa na cealing board