geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,223
hahahahahahha siku moja moja shemeji yako akiwa mbali[emoji3][emoji3][emoji3]Haupigi puchu mzee na hiyo. Tv ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahha siku moja moja shemeji yako akiwa mbali[emoji3][emoji3][emoji3]Haupigi puchu mzee na hiyo. Tv ?
Puchuuu inaniuaaaa aseeeeeeeeeeehahahahahahha siku moja moja shemeji yako akiwa mbali[emoji3][emoji3][emoji3]
Kula nyeto wewePuchuuu inaniuaaaa aseeeeeeeeeee
Katoro ya Geita?bajeti yangu mgahawani
asubuhi 1000
mchana 1500
usiku 1500
jumla 4000 ×30
ila
getto nilichukua 40k nikanunua mchele,mafuta ,unga,samaki wa buku mbil nakula mara 3 au 2,nikibadili ni nyama
nilikuja kupiga tathmin mgahawan pesa kibao inatembea trust me.
location :katoro (huku 40k unapata chumba na sebule full tiles halafu kipana sana[emoji3][emoji3])
ushauri .GETTO NI KUJINYIMA WAZEE hasa ukiwa unaanza
Suluhu ni ujifunze kupika vizuriLeo, geto nimepika wali, aiseee, umetoka kama ugali, nashawishika kukaa na mwanamke
Pacha mi sio mvivu ila kuosha vyombo ni kitu kinanipaga wakati mgumu sana...kuna gesi yangu niliinunua mwaka jana mwezi wa 7. Hadi leo bado ipo Full...nakumbuka nimewahi kuchemshia chai mara mbili tu....Sometimes natamani niiuze ila nafsi inanambia acha kuuza....Pacha ako atakuja siku moja umpikie dikodiko la nguvu....nabaki kusubiriKumbe pacha wee n mvivu hivi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
naaam mkuu"Pole kama unakula kwa mama NtilieView attachment 2153769
Leo, geto nimepika wali, aiseee, umetoka kama ugali, nashawishika kukaa na mwanamke
Raha ya geto tunaosha vyombo tukiwa tunataka kupika tu
Pole kama unakula kwa mama NtilieView attachment 2153769
Yaaani hakuna haja ya kuumiza kichwa saaaanaMkuu huu upishi ndio naupendaga tena wa fasta tu.
Ugali na mayai mawili ya kukaanga
Ungekula na shemeji hapo. , Usiku angekupa tunda lililo ivaaaaMkuu huu upishi ndio naupendaga tena wa fasta tu.
Ugali na mayai mawili ya kukaanga
Pika donaPole kama unakula kwa mama NtilieView attachment 2153769
Sikumbuki ni lini nimekula sembePika dona
[emoji4] anza na bufaGeto langu, bado jeupe, sina Tv wala radio, yani very bored, nikiwa sina bundle ndio mbaya zaidi,