Ulianzaje kukaa gheto?

Geto langu, bado jeupe, sina Tv wala radio, yani very bored, nikiwa sina bundle ndio mbaya zaidi,
Taratibu as long as smart ipo, jitahidi bando nalo liwepo.

Mimi nlivopata idea ya kutoka hom, kabla hata sijapata chumba, nlinunua sea piano Sp 661...
Baadae ndo nkajitupa nkanunua mazaga yote kwa mkupuo baada ya kupata chumba.

Geto raha sana.....
 
Aseee 40k chumba sebure? Ni mkoa gani uo [emoji2]
 
Hiyo ni zaidi ya transformation [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…