NILIPOKUWA KWA WAZAZI (demu vs wahuni )
hello,
mbona kmya,
hello
nimekumic
mbona hujibu text zangu
mbona unanizungusha nikiomba tukutane
hello tukutane bondeni
mbona hufiki
nikute hapa kona kama unaelekea mtoni
oya wahuni msije saiv mshua yupo
oya mida mi naenda home
SAIV GETTO (text za demu)
mamb,upo nije[emoji3]
niandalie nguo kesho nakuja kukufulia
nipo njian nikuletee nini[emoji3]
nataka nije kufanya usafi
usipike nakuja[emoji3]
SAIV GETTO (text za wahuni wangu)
oya man lile dili limetiki vipi upo getto tukuletee mpunga au
oya kudadek nimekuletea pesa yako haupo
oi upo getto tunakupitia twende mazoezini
oi wapi hapo ,mzigo umefika sema bei imeshuka tutapa faida kidogo
MTOTO WA MWENYE NYUMBA (wanaishi jirani)
hello
mic you kingkongtz[emoji3]
upo free nije [emoji3][emoji3]
usipike nmekutunzia chakula
GETTO kuna raha yake
kula mbususu pia hakuepukik ila kuwa makin tu