Ulianzaje kukaa gheto?

"kitanda cha kulalia sina nawaza kununua kabati ..hii akili au matope.."

Kama unawajua mabaga fresh utanielewa [emoji1787]

Yaani gheto jeupe kabjsa aanze kununua sabufa

Hii akili au matope[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3577]
[emoji4] matope.
 
Pacha wala hutonipikia, ntapika mwenyew hilo dikodiko na masapta sapta ya kushato. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kwel gharama nazid iyo 2500 Lakin utapata msos mwngi na nyama nyingi mana mgahawan utapata Vipande vitatu vya nyama
 
Na zaidi ukinunua hivyo vitu utapika chakula cha kutosha utashiba sana na unaweza kukipa siku nzima ila sahani ha buku 2 hutoshiba au utashi a halafu ukovuka kizingiti cha mgahawa unaanza hisi njaa[emoji2]
[emoji28][emoji28]
 
UKIWA UNA KAA GHETO AFU HUNA MADEMU WANAOELEWEKA,,,,, UTAKUWA MTUMWA WA PUNYETO ASEEEEEE,,,,,,,,. USHAURI BI4. HUJAPANGA GETO AT LEAST ISHI NA KUWA NA MADEMU WANAOELEWEKA. HATA KAMA UKIWAAMVIA ***** NJOO GETO TUPONGE ANAKUJA WITHOUT MINONG'ONOOOOO
Mzee inategemeana na mitikasi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…