Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
mziki ni muhimu sana hasa kwa sisi. . ., au basi anaelewa kaelewa[emoji4] matope.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mziki ni muhimu sana hasa kwa sisi. . ., au basi anaelewa kaelewa[emoji4] matope.
Huu mziki mnene, sema kipengele ni baadhi ya subwoofer njaa haziwashi, maana speaker huwa ina nguvu kuliko bufa yenyewe. Kuna speaker moja nilipata ilikuwa super sana, ila subwoofer ikafeli kuconnect, ikabidi nimpe mwanangu mmoja hv alikuwa na redio hizi za mtumba, basi akaunga maisha yakaendelea mpaka leo hii anaenjoy mziki mneneView attachment 2159213
Itazame vema
Huu mziki mnene, sema kipengele ni baadhi ya subwoofer njaa haziwashi, maana speaker huwa ina nguvu kuliko bufa yenyewe. Kuna speaker moja nilipata ilikuwa super sana, ila subwoofer ikafeli kuconnect, ikabidi nimpe mwanangu mmoja hv alikuwa na redio hizi za mtumba, basi akaunga maisha yakaendelea mpaka leo hii anaenjoy mziki mnene
2015 mwezi wa 9 dadeki naanza life songea chumba nilijichanganya nilipanga self 25000 godoro mbili na nusu kwa sita nanilikuwa nimelitupachini sikuwa hata nachombo chochote zaidi ya kismart phone changu tecno M3 lakini saivi mambo kwenye mstariii mwanzo haujawahi kuwa mrahisi[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Hapana mkuu,wote tulioanzia maisha ya gheto huu uzi n wa kwetu,,,,Walio jenga, uzi huu sio wakwao tena
Inauma sana mkuuHii ya "kudunda duung" imenifanya nicheke kama vile ni mazuri.
For real mkuu2015 mwezi wa 9 dadeki naanza life songea chumba nilijichanganya nilipanga self 25000 godoro mbili na nusu kwa sita nanilikuwa nimelitupachini sikuwa hata nachombo chochote zaidi ya kismart phone changu tecno M3 lakini saivi mambo kwenye mstariii mwanzo haujawahi kuwa mrahisi[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Unatengenezea watu?View attachment 2159213
Itazame vema
Unatengenezea watu?
Mlio jenga basi tupeni experience, mlianzaje kujenga, pia maisha ya geto mliyaendeshaje kipindi kipato chako kinapo shuka zaidi.. mambo kama hayoHapana mkuu,wote tulioanzia maisha ya gheto huu uzi n wa kwetu,,,,
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23]atanyampa vitu mpaka yeye mwenyewe ajikimbie.Unatengeneza bomu la nyuklia[emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha bomu limekuwa neutralized na hayo maji pembeni.. afu raha ya geto nipo mwenyewe, unalipua tu mabomu ya masafa marefu, uwe na feni tuUnatengeneza bomu la nyuklia[emoji1787][emoji1787]
Huu mchanganyiko wa yai na Maharage utakua unajamba sana huko GymKutoka geto, ugali mkubwa wa dona , mayai mixer maharage, na maji makubwa ya Afya mida mida naingia gym .. Aisee ukiniona nina body lilo jengeka, kwa ajili ya hii misosi ya geto, acheni kula kwa mama ntilie kama unataka kuwa na afya njema.. View attachment 2160604
Noma sanaa mzeeHuu mchanganyiko wa yai na Maharage utakua unajamba sana huko Gym
Nikitaka mziki wa maana niandae kama sh ngap hivi.Wakihitaji saww