Lilipatwa na nini?Sitaki kulikumbuka lilivyoanza kuvimba[emoji23]milango ilikuwa haifungi,
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji106]Rangi ya cream, au Grey.
Kwahiyo ukishanunua grey ndiyo hutonunua tena?Rangi ya cream, au Grey.
Hahahaaaa ndo shida ya hela,ukikusanya zikawa nyinginyingi,utasikia mara oooh hiv mara vile,tayar unakuwa umeshakwama[emoji23][emoji23][emoji23]mara unasikia bibi kameza shilingi tano,yupo hosp[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]............Mungu akufanyie wepesi[emoji7]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo hayatakagi hata yapate ule ubaridi wa ukuta… means ukiliweka lisisogelee ukuta.
[emoji23][emoji23][emoji23]mie nikiwaga na hela naogopa hata kutumia,maana nikiishiwa tu mambo yanajitokeza,Hahahaaaa ndo shida ya hela,ukikusanya zikawa nyinginyingi,utasikia mara oooh hiv mara vile,tayar unakuwa umeshakwama
Oooooh kumbe!!! Dirisha lilikuwa waziHayo hayatakagi hata yapate ule ubaridi wa ukuta… means ukiliweka lisisogelee ukuta.
Hahaahhkipind nmeanza kukaa getto kuna siku dingi alikuja kunicheki (nilikuw naumwa) alikuta nalalia mkeka na shuka moja ya kimasai.
nilikaa nae kama masaa manne akaniaga anaenda sokoni wakati anarudi nikasikia mlio wa pkpk kutoka nje namuona anashusha godoro 5x6 alafu nene kichiz akanipa kisha akaaga anarudi nyumbani maana muda wa magari ulikuw umeenda.
haikuchukua ata week nililiuza nikaongezea kwenye biashara nikaendelea kulalia mkeka.
sasa kuna siku alikuja town akaomba aache mizigo yake kwangu aisee ..............
ila haya maisha
Nakutegemea[emoji23]Mnanisimanga kijanja[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaah.[emoji106]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] unanunua bhana cc nawee.Kwahiyo ukishanunua grey ndiyo hutonunua tena?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha uwoga[emoji23]Geto langu siwezi liposti humu linatia huruma[emoji2]