Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 906
- 1,401
kwani kuna shida gani? kama pazia bado lipo fresh..kuna ulazima wa kubadilishà mara kwa mara? what the logic reasons behind ?kuna watu wanaanza first year haddi anamaliza chuo ila pazia n ile ile
Rangi ya mid brownRangi gani? [emoji1787]
😃😃Rangi ya mid brown
Sure ajitahidi achukue nchi 32, mm nilinunua kwa 370k mkoni lkn sio dar, Kama yupo dar itakua chini zaidi.Ukifika mpaka 250
Unaweza kufika 350 ya nchi 32 ‘ kama upo dar.. ila hisense kwa bei hiyo hupati
Mwana upo mk sehemu gani m mwenyewe nipo makambako hapa.Nipo makambako mkuu,flat za huku sanasana kuna star x,boss,skyworth,sundar,solarmax,aborder yan flat flan sio kiviiiilee
Words [emoji119][emoji119][emoji119]Alafu kijana mwenye "nguvu umekamilika" nasema mapema jitambue umri kuanzia 18-29 unatakiwa ukae Getto, 30-37 ukae kuanzia master, sebule na jiko, 38 na kuendelea uwe unaishi Master, Chumba, Jiko na Sebule. au uishi ktk Nyumba nzima pekeako iwe umejenga au umepanga. Sasa unakuta mtu mzima 30+ upo umejibana na chumba kimoja kama mwanafunz. Haileti heshima na unaonekana huna akili. Hata wanawake wana wakimbia kwasabab akija kwako anaona huyu mtu mbona anaishi kama mwanafunz. Hata ndugu zako wanakukwepa wanajua huna akili.
[emoji23][emoji23]Mara oooh dada sina pesa ya matumizi,mara oooh dada inabidi tuende tour,
Hapo pesa umeshaitumbua[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko kama mimi napenda sana movies za vita hasa WW2. Kuna kama hizi-:Ladbba unambie call of duty,ghost .bad company,battlefield1,2,3,4, Maza vita mi ndo mpenz mkuj
Mijengo ya Moshi/ArushaGhetto Kwa cocastic 😂😂😂😂View attachment 2224189
Kwanini mkuu? Au ni huo muundo wa dirisha 🤣🤣Mijengo ya Moshi/Arusha
Yes. Kidirisha Ka selo. Mafundi wa huko hawabadiliki?Kwanini mkuu? Au ni huo muundo wa dirisha 🤣🤣
KhaaaYes. Kidirisha Ka selo
Kidirisha kile cha juu kuleKhaaa
Kubwa hivo waliita selo?
Kwani nyumba za mikoa mingine hamna? Hewa itapitaje sasa ?Kidirisha kile cha juu kule
Mafundi wa huko hamnazo
Hewa gani inapita hapo?Kwani nyumba za mikoa mingine hamna? Hewa itapitaje sasa ?
Hewa kama hewa, na pia kupitishia nyaya za madish ya ving’amuzi 😅Hewa gani inapita hapo?