Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Halafu sikuwahi kulifikiria hili mkuu umeongea pointi muhimu sanaKwanza nikupe pole.
Unasema wachuchu walikuwa wanalielewa ghetto lako maana yake ulikuwa unawabadilisha jinsi utakavyo.
Ulilifanya ghetto lako kama ulimbo wa wachuchu, nina wasiwasi labda walikuchoresha kwa wana uibiwe kama kulipa kisasi kwasababu uliwatumia na kuwatosa.
Au hao waliokuibia ni miongoni mwa wapenz wa wachuchu uliokuwa ukiwaleta kwako.
Ushauri wangu,sasa hivi angalia maisha yako na usiwe mwepesi kutafuta mtu au kuleta mtu kwako na kujua unaishije.
Ikibidi hama huo mtaa wasije wakakurudia tena maana wameshakujua nyendo zako. Pole sana hili nilishawahi kulisema huko juu kwamba kuibiwa kunarudisha maendeleo nyuma.
Na hata hivyo nina mpango wa kuhama sema natafuta kodi ya miaza 3 kabisa na udalali maana kuhama napo inabidi ujipange
Yaani mimi mwizi siwezi muonea huruma kwakweli na siku nikiona anapigwa lazima niliunge