Ulianzaje kukaa gheto?

Halafu sikuwahi kulifikiria hili mkuu umeongea pointi muhimu sana

Na hata hivyo nina mpango wa kuhama sema natafuta kodi ya miaza 3 kabisa na udalali maana kuhama napo inabidi ujipange


Yaani mimi mwizi siwezi muonea huruma kwakweli na siku nikiona anapigwa lazima niliunge
 

Ahsante kiongozi
 
Karibu sana mkuu. Mwanzilishi wa huu uzi tumpe big up maana unasaidia vijana wengi kupata upenyo wa kuanza maisha.

Siku nikipata muda mzuri nitaweka kisa changu jinsi nilivyoanza life na wenzangu mpaka nilipofikia.
Thanks mkuu [emoji119], siku ukitulia tusimulie kisa chako
 
Alienzisha huu Uzi ajengewe sanamu posta na apewe tuzo ameinspaire vijana wengi Sana, Kuna wengine tunasoma tu atucoment kitu, tupo wengi Sana naamini kupitia huu uzi tumepiga hatua moja,mbili tatu
Asante kwa feedback mkuu,,Hilo sanamu napendekeza liwe pale ferry [emoji23]
 
Kila lakheri mkuu,Simamia hapo hapo,see you next time
 
Hakika ushauri huu hautakiwi kupuuzwa kwa mtu yeyote.
 
[emoji23] pole mkuu,vtu vinatafutwa,achana na waganga
 
Asante sana mkuu
 
Pamoja sana.Yalishanitokea haya ndio maana natoa experience ya maisha yangu ya huko nyuma.

Siku ukianza kutafuta nyumba fanya kimya kimya wasijue na siku unaondoka aga siku hiyo hiyo na usitoe location wapi unaenda, futa watu wote waliokujua hapo awali, hii itakupa ujasiri kwamba hakuna anayejua nyendo zako wala kukufuatilia mkuu.
 
Thanks mkuu [emoji119], siku ukitulia tusimulie kisa chako
Nitasimulia mkuu. Ngoja nipunguze majukumu niwe nina muda wa kutosha ili nikianza ni moja kwa moja bila kustop ili nisiwaweke watu alosto. [emoji4][emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…