The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Kama kawa ,hapa life ni cheap sanaHarakati zinasogea lakini hapo?
Unaunga kabisa dah[emoji23][emoji23]
Mdogo mdogo, nimetoka kuvuta mzigo huo, wa Seapiano ... Kwahyo nitakuwa huru, kwenye ulaji wa mbususu.. bira majirani kusikia sauti za mliwaji..Watu wakisema hawataki kuoa wana maanisha unapika mpaka wali wa nazi noma yaani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Taja Ingredients mkuu kwanza, kesho nikitoka mzigoni nishushe Kama hiiSometimes mambo yakikubali unajipa shavu mwenyewe[emoji16][emoji18]
This food brought to you by me na kuliwa na mimi kwa kusindikizwa na Kizz Daniel ft Tekno-Buga won[emoji847]View attachment 2238605
all the best mastaGhetto ninaloishi lina mkeka,ndoo ya maji na mifuko yangu ya nguo..napambana nafanya biashara ya kutembeza bidhaa za urembo.wiki hii mambo ni mazuri jumatatu mauzo yalikuwa 37,000 leo 26,000 napambana kutafuta hela pia nasali sana ili mwaka 2023 nije kuwa na ghetto zuri lenye vitu vizuri ndani..
Matumizi yangu hayafiki 5000 kwa siku na mara nyingi ni chini ya 4000 hela ya kula naitoa kwenye biashara hii hii ambayo niliianza jumatano iliyopita hadi jumapili nilipumzika niweza kusave 63,000 hadi leo na nimeshatoa hela ya kwenda kuongeza vitu kesho kariakoo..
Lengo langu niongeze biashara ya pembeni ili inigharamie bill zangu za kila siku.Lengo langu la mwaka ujao niwe na ghetto zuri lenye vitu vizuri ndani vilevile ninunue bodaboda hata ya mtumba iniingizie pesa na vilevile niwekeze kwenye kilimo kama sitafanikiwa katika yote hayo matatu basi at least hayo malengo mawili yatimie.
Uzi huu umenigusa sana hadi nmeamua kuishi mwenyewe kwangu kiukweli sijawahi kuandika post ndefu kuliko hii hapa JF ila kwa hisani ya uzi huu nimeshare jambo langu smartphone yenyewe ninayotumia ni majanga panapo majaaliwa nitaleta mrejesho wa maendeleo ya biashara na picha ghetto langu kwa sasa..
Roger that!
Sauti za mliwaji zinaongeza mzuka, usijali majirani wakiskiaMdogo mdogo, nimetoka kuvuta mzigo huo, wa Seapiano ... Kwahyo nitakuwa huru, kwenye ulaji wa mbususu.. bira majirani kusikia sauti za mliwaji..View attachment 2238543
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
hahahSauti za mliwaji zinaongeza mzuka, usijali majirani wakiskia
Kama kawaidaNdiwooo
Nyumba ya mkatoliki [emoji122]
TambiTaja Ingredients mkuu kwanza, kesho nikitoka mzigoni nishushe Kama hii
[emoji23][emoji23][emoji23]Upo kama mimi...kupika sio Inshu...ila vyombo sasa[emoji848]Wajuba mko vizuri..mi kwenye kuosha vyombo na kupika,naonaga ishu kichizi yan
bora kupika, ila sio kuosha vyomboWajuba mko vizuri..mi kwenye kuosha vyombo na kupika,naonaga ishu kichizi yan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Hujui hata kupika, maskini weee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah umenitama isha mzee huu ndio msosi wangu pendwa huwa jasho lazima linitokea.Maisha ya geto, ugali mkubwaa dagaa wa kuhesabu.. aisee dagaa wana save sana budget , pale unapokuwa umefuria... View attachment 2215300
Kikubwa usirudi songa mbeleNlipost hiii mwaka 2020 na badae December mwaka huo huo nikawa nasepa maskan kwenda kuanza maisha kitaaa bila kuwa na mishe yoyote. Kiukweli nilipiga kazi yoyote iliokuja mbele yangu na hiii ikansaidia kukutana na washikaj mbalimbali ambao ikasaidia kupeana michongo. Hadi Sasa npo get naona hatua zinaenda ila kwa mwendo wa Kobe.
Ukitaka usiwe mvivu wa kuosha vyombo baada ya kupika fanya hivi ÷Wajuba mko vizuri..mi kwenye kuosha vyombo na kupika,naonaga ishu kichizi yan
Vipi kama anayo familia na iko mkoan au hapo yeye yuko mkoani.Hivi Kuna mtu ana 38yrs anaishi geto?? Aiseee! Umri huo kijana anatakwa awe na familia kwa maana mke na watoto. Sasa utaishije geto mzee mzima?