mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Nataka nifanye hivyo,siwezi kuliacha aisee,Unakomaa naye fundi hapo hapo mpaka kieleweke. Tenga siku nzima ili uhakikishe unakamilisha kazi, tena kabla hajaanza mwambie kabisa unaondoka nayo huiachi.