Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Ni kupiga kazi tu mpaka kieleweke ndio suluhisho la kutorudisha mpira kwa kipaGOD is Good, mwaka wa kwanza ndo umekata ivoo[emoji120]
Maombi yenu wadau nisije rudisha mpira kwa kipa[emoji110]
View attachment 2326242
View attachment 2326243
Hongera sana mkuu [emoji119][emoji119]Taratibu ktk harakati za kuanza maisha ya ghetto.View attachment 2345839View attachment 2345840View attachment 2345841
Pamoja mkuu [emoji120][emoji120]Hongera sana mkuu [emoji119][emoji119]
HongeraTaratibu ktk harakati za kuanza maisha ya ghetto.View attachment 2345839View attachment 2345840View attachment 2345841
Taratibu ktk harakati za kuanza maisha ya ghetto.View attachment 2345839View attachment 2345840View attachment 2345841
[emoji2][emoji2][emoji2] mapokezi ndio sehemu muhimu kuliko zoteWamekwisha[emoji16][emoji16]
shukraniHongera
Vinakaa hvyoWakuu hivi kusafirisha kitanda na Godoro lake 4 kwa 6 naweza nikasafir nacho kwenye bus maana nataka kuhama mkoa sasa.
Usinunue achana nayo, tafuta hela kanunue mpya dukani acha akili za kimasikiniWadau kuna rafiki yangu anauza Smart TV inch 50 nataka kuinunua lakini ina tatizo la mstari mdogo kwenye kioo, Je hauta sumbua mbeleni labda kuongezeka na kuleta madhara zao?
Sasa maisha yanapokukoroga ndipo muda muafaka wa kufahamu uwezo wako wa kujisimamia. Utafahamu vipaumbele vyako na mambo ya kupuuza. Mfano hautahonga hovyo ili uweze kununua mahitaji ya ndani.Wale wadau wa mwezi wa nane,,,mshaanza life la gheto,
Kuna mmoja kapata kitanda na godoro kahama kwao[emoji16],sasa maisha yanamkoroga hana kazi wala biashara[emoji16]
Bado sijashawishika kuhama home[emoji6]
Safi sana. Sasa ujitahidi kupambana na hayo maisha hadi yakupe siti uyaendeshe mwenyewe.Uzi ulionitoa kwnye kiza Hadi Sasa nauona mwanga japo haikuwa rahisi kuwashawishi wazazi kuondoka nyumbani na kupanga chumba ilihali umeacha chumba ama vyumba nyumbani , ikibidi nikimbie kinyemera baada ya mambo kuwa magumu na dharau kuwa nyingi kwa wadogo zangu pindi wakirudi likizo kutwa unagombana nao na ukijitzama n mtu mzima hapo ndipo nilipoamua kusepa nakumbuka mfkon nilikuwa na tsh 40,000 nikampga saundi Dem wangu ambaye Sasa n wife aknipa 80,000 nikakodi chumba elf tisini na mkeka wa 7000 pazia nilichomoa nyumban na life likaanzia hapo.
Watu mnakula makitu ya ajabu ukitoa huyo samaki na nyanya na hiyo ndimu, hayo mengine ni manini?!
Raha ya geto Demu awe anakuja weekend kwa weekend, yaani unamiss , katikati ya wiki piga harakati kweli kweli weekend ndio unapoa na kujipoza .Wanangu samahani
Hivi kukaa geto na demu vipi?? Imekaaje??
Kwenye suala zima la utafutaji??
Yani kabla ya ndoa unaamua kukaa geto na demu
Ushauri wazeee wa kazi