Uzi ulionitoa kwnye kiza Hadi Sasa nauona mwanga japo haikuwa rahisi kuwashawishi wazazi kuondoka nyumbani na kupanga chumba ilihali umeacha chumba ama vyumba nyumbani , ikibidi nikimbie kinyemera baada ya mambo kuwa magumu na dharau kuwa nyingi kwa wadogo zangu pindi wakirudi likizo kutwa unagombana nao na ukijitzama n mtu mzima hapo ndipo nilipoamua kusepa nakumbuka mfkon nilikuwa na tsh 40,000 nikampga saundi Dem wangu ambaye Sasa n wife aknipa 80,000 nikakodi chumba elf tisini na mkeka wa 7000 pazia nilichomoa nyumban na life likaanzia hapo.