Ulianzaje kukaa gheto?

Kila lakheri mkuu,,ukitoka hapo unasaka nanocell moja ya LG inches kama 50 hivi [emoji23]
 
Hongera
 
Good
 
[emoji23][emoji23]nina she mmoja anaupenda kichizi mchezo huo sio pw yaan mpaka sikunyingine namwambiaga naumwa usije Lakin yeye wap anautaka tu.
 
Me ndo nmemaliza first year chuo na geto. Nlkosa mkopo nkakosa na boom. Ilkuwa nsiende chuo ila wazee wakakaza ivoivo nikasome japo me mwenyew so mpenda shule, actually weng hatupend shule[emoji16].

Sas from chugga to moro nafika pale chuo 1×1 ili nifanye registration mana tyr nlishachelewa kurpot. Apo wala sna pakufkia nawala sna mpango wa hostel nkampanga mlinz wa chuo pale getn nkamuamby me room yyt muhim niwe ndani ya kuta za matofal kuwe na umeme na sakafu mengine waachie mashost wakishua[emoji41].

123 pale simu zkaita sana mpak jion ile nkapata room 1 ivi yaki local sana ila kwakuwa skuwahi kwenda mageto ya wanafunz au watu washua bas nkawa naona mm n wa juu mbayyaah.

Bas mtu mbad nkaingia sokon nkavuta kijgodoro cha 3×6 man killer i don't care nkatimba geto la (30k) ktasa cha kuful na hapo baada ya kulpia registration na ada chuo na kununua hlo godor hela ndo ikayoyoma nkabak na kama 150k ivi.

Faza house nkampga lugha pale nkapiga kibunda ya miez4 tu. Nkampiga yule mlinz 5k nkamuamby tutaonan chuo. Nkazama ndan nkatupa kigodor changu chini nkatundika pazia langu la 5k nlotoka nalo home. Hapo namaansha drsha la nyavu sio aluminium.[emoji856]

Nkaegemeza kbeg ukutan nkaanza kuhesabu migongo mingap ya bati imeenea room yangu namaanisha no ceilings on roof. Ila honestly nlikuwa nmerdhka sana tu kuanzia chin kama vle na nlijua kabsa pale siez kufany admission kabsa(kuvusha[emoji6]).

Nkakaa mpak likizo ya December ile chuon inakuwa ni wik 1 tu nkachora nkaenda kwa wilaya za jiran nkatafuta kitand na godoro 4×6 kutoka kwa mtu nkarud navyo apo nshanunua sufuria2 na mwiko na kijicontena ili sometimes nichukue dko hotelin nlete home siunajua.

Ttz langu lilianzaga nlipozoeana na wana pale chuo wenzang bana wana mageto yakwenda siunajua tena Heslb[emoji16]. Bas bwana nlipohudhuriaga mageto yao ndo nkajua tunaambiwaga tu dont compare yourself to others ila kujifananisha kupo ban. Nkaanza sas kusaka mambo za kuhama pale nkaparangana mpaka nkahamia mjengo mmoja iv mwez wa 6 mwaka huu humo tunakaa wanachuo kibao sas pale n kama competition tu afu mtonyo wenyew sna.

Nawaza bora kule nlipkuwa japo nna jko saiv ila kodi inanifany sometimes inanfanya napkga miayo nikiwa ndan ya self yangu. Saiv nangoja matokeo tu ya heslb apa
 
Utafika tu Cha muhimu pumzi,
 
Niandae kama Million ngap maana Mimi napenda TV inch za kutosha sio unaweka ukutani TV ndogo kama saa
Ukitaka LG nanocell inch 50 1.8, inches 55 2M hii ni balaa,mfuko ukiwa mdogo unajibana kweny Hisence au TCL
 
Hivyo hivyo mzee pambana ukimalza chuo uisrud mtaani,anza kua na hyo projection mapema, wasalimie wanao wote wa humo Bigbrother [emoji3][emoji23]
 
Rice cooker bei gan mkuu ?
 
Makini sana hiii [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Nimepata sehemu ya kuanzia, nitaleta mrejesho baada ya mwezi mmoja. Be blessed bro.
 
Ndiyo hivyo,habari za kuokotana na kuwekana ndani ni risk,wadada baadhi wamekuwa wezi hatarii,

Kakuibia utaenda kushtaki kwa nani?

Na hata kama ndugu zake wanajua unaishi nae,demu akikupiga tukio wanakukana/hawakujui maana hautambuliki kwao.
Akikufia ndani napo msala mkubwa. Utampeleka wapi, kesi inakuhusu hapo.
 
Ulimpata mwanamke anayejielewa. Fikiria kuna mtu ana mwanamke ambaye akijua umepata hela tu anawaza kununua madera, viatu vyenye manyoya, kula vizuri(anasa),ukisema utunze hela huikuti ameitumia kwa matumizi usiyoyajua..huyu unaweza kuishi naye kweli ukiwa unaanza maisha na ukatoboa kweli?

Yaani wewe una bahati sana wanaume wengi wameumizwa na baadhi ya wanawake wajinga. Kabla hajafanya maamuzi awe na uhakika kwamba huyo mwanamke ana akili zake za kumtosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…