Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Ghettoz woyeeeeeeeeeh!!!
Nimemic kuchezea mito yangu. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kila lakheri mkuu,,ukitoka hapo unasaka nanocell moja ya LG inches kama 50 hivi [emoji23]Naamia geto NEXT MONTH ehhe MUNGU nisaidie
Nimeshanunua kitanda 5×6 , shuka ninazo 2, neti safi , mtungi mdogo wa gesi , vyombo vya muhimu,feni, hapa natafuta portable speaker kukaa bila mziki siwezi , natafuta chumba Cha elfu 50/60 chenye choo ndani
HongeraNaamia geto NEXT MONTH ehhe MUNGU nisaidie
Nimeshanunua kitanda 5×6 , shuka ninazo 2, neti safi , mtungi mdogo wa gesi , vyombo vya muhimu,feni, hapa natafuta portable speaker kukaa bila mziki siwezi , natafuta chumba Cha elfu 50/60 chenye choo ndani
HongeraNilianza na ndoo mbili moja ya kuogea nyingine maji ya kunywa na kikombe kimoja..mkeka mmoja na shuka mbili maisha yakasonga
GoodNaamia geto NEXT MONTH ehhe MUNGU nisaidie
Nimeshanunua kitanda 5×6 , shuka ninazo 2, neti safi , mtungi mdogo wa gesi , vyombo vya muhimu,feni, hapa natafuta portable speaker kukaa bila mziki siwezi , natafuta chumba Cha elfu 50/60 chenye choo ndani
[emoji23][emoji23]nina she mmoja anaupenda kichizi mchezo huo sio pw yaan mpaka sikunyingine namwambiaga naumwa usije Lakin yeye wap anautaka tu.aisee nilipata hio pisi ina pepo la ngono KIPINDI niko chuo.. yaani mda wote inataka, mpaka ikiwa kwa sku zake inataka.. but tuliachana kisa hio tabia.. ilifika kipindi ananinunulia energy ili usiku nisi lala tuwe tunagongana tu[emoji23][emoji23]....
daah yule dada alikua mwana maombi mwaminifu pale chuoni. basi kila sku alikua ana danganya a naumwa ili tubak tunagongana.. [emoji23][emoji23]
.....
daah nimekaukiwa mbususu mpaka nakukumbuka kelly wangu[emoji4]
Niandae kama Million ngap maana Mimi napenda TV inch za kutosha sio unaweka ukutani TV ndogo kama saaKila lakheri mkuu,,ukitoka hapo unasaka nanocell moja ya LG inches kama 50 hivi [emoji23]
Utafika tu Cha muhimu pumzi,Me ndo nmemaliza first year chuo na geto. Nlkosa mkopo nkakosa na boom. Ilkuwa nsiende chuo ila wazee wakakaza ivoivo nikasome japo me mwenyew so mpenda shule, actually weng hatupend shule[emoji16].
Sas from chugga to moro nafika pale chuo 1×1 ili nifanye registration mana tyr nlishachelewa kurpot. Apo wala sna pakufkia nawala sna mpango wa hostel nkampanga mlinz wa chuo pale getn nkamuamby me room yyt muhim niwe ndani ya kuta za matofal kuwe na umeme na sakafu mengine waachie mashost wakishua[emoji41].
123 pale simu zkaita sana mpak jion ile nkapata room 1 ivi yaki local sana ila kwakuwa skuwahi kwenda mageto ya wanafunz au watu washua bas nkawa naona mm n wa juu mbayyaah.
Bas mtu mbad nkaingia sokon nkavuta kijgodoro cha 3×6 man killer i don't care nkatimba geto la (30k) ktasa cha kuful na hapo baada ya kulpia registration na ada chuo na kununua hlo godor hela ndo ikayoyoma nkabak na kama 150k ivi.
Faza house nkampga lugha pale nkapiga kibunda ya miez4 tu. Nkampiga yule mlinz 5k nkamuamby tutaonan chuo. Nkazama ndan nkatupa kigodor changu chini nkatundika pazia langu la 5k nlotoka nalo home. Hapo namaansha drsha la nyavu sio aluminium.[emoji856]
Nkaegemeza kbeg ukutan nkaanza kuhesabu migongo mingap ya bati imeenea room yangu namaanisha no ceilings on roof. Ila honestly nlikuwa nmerdhka sana tu kuanzia chin kama vle na nlijua kabsa pale siez kufany admission kabsa(kuvusha[emoji6]).
Nkakaa mpak likizo ya December ile chuon inakuwa ni wik 1 tu nkachora nkaenda kwa wilaya za jiran nkatafuta kitand na godoro 4×6 kutoka kwa mtu nkarud navyo apo nshanunua sufuria2 na mwiko na kijicontena ili sometimes nichukue dko hotelin nlete home siunajua.
Ttz langu lilianzaga nlipozoeana na wana pale chuo wenzang bana wana mageto yakwenda siunajua tena Heslb[emoji16]. Bas bwana nlipohudhuriaga mageto yao ndo nkajua tunaambiwaga tu dont compare yourself to others ila kujifananisha kupo ban. Nkaanza sas kusaka mambo za kuhama pale nkaparangana mpaka nkahamia mjengo mmoja iv mwez wa 6 mwaka huu humo tunakaa wanachuo kibao sas pale n kama competition tu afu mtonyo wenyew sna.
Nawaza bora kule nlipkuwa japo nna jko saiv ila kodi inanifany sometimes inanfanya napkga miayo nikiwa ndan ya self yangu. Saiv nangoja matokeo tu ya heslb apa
Hivyo hivyo mzee pambana ukimalza chuo uisrud mtaani,anza kua na hyo projection mapema, wasalimie wanao wote wa humo Bigbrother [emoji3][emoji23]Me ndo nmemaliza first year chuo na geto. Nlkosa mkopo nkakosa na boom. Ilkuwa nsiende chuo ila wazee wakakaza ivoivo nikasome japo me mwenyew so mpenda shule, actually weng hatupend shule[emoji16].
Sas from chugga to moro nafika pale chuo 1×1 ili nifanye registration mana tyr nlishachelewa kurpot. Apo wala sna pakufkia nawala sna mpango wa hostel nkampanga mlinz wa chuo pale getn nkamuamby me room yyt muhim niwe ndani ya kuta za matofal kuwe na umeme na sakafu mengine waachie mashost wakishua[emoji41].
123 pale simu zkaita sana mpak jion ile nkapata room 1 ivi yaki local sana ila kwakuwa skuwahi kwenda mageto ya wanafunz au watu washua bas nkawa naona mm n wa juu mbayyaah.
Bas mtu mbad nkaingia sokon nkavuta kijgodoro cha 3×6 man killer i don't care nkatimba geto la (30k) ktasa cha kuful na hapo baada ya kulpia registration na ada chuo na kununua hlo godor hela ndo ikayoyoma nkabak na kama 150k ivi.
Faza house nkampga lugha pale nkapiga kibunda ya miez4 tu. Nkampiga yule mlinz 5k nkamuamby tutaonan chuo. Nkazama ndan nkatupa kigodor changu chini nkatundika pazia langu la 5k nlotoka nalo home. Hapo namaansha drsha la nyavu sio aluminium.[emoji856]
Nkaegemeza kbeg ukutan nkaanza kuhesabu migongo mingap ya bati imeenea room yangu namaanisha no ceilings on roof. Ila honestly nlikuwa nmerdhka sana tu kuanzia chin kama vle na nlijua kabsa pale siez kufany admission kabsa(kuvusha[emoji6]).
Nkakaa mpak likizo ya December ile chuon inakuwa ni wik 1 tu nkachora nkaenda kwa wilaya za jiran nkatafuta kitand na godoro 4×6 kutoka kwa mtu nkarud navyo apo nshanunua sufuria2 na mwiko na kijicontena ili sometimes nichukue dko hotelin nlete home siunajua.
Ttz langu lilianzaga nlipozoeana na wana pale chuo wenzang bana wana mageto yakwenda siunajua tena Heslb[emoji16]. Bas bwana nlipohudhuriaga mageto yao ndo nkajua tunaambiwaga tu dont compare yourself to others ila kujifananisha kupo ban. Nkaanza sas kusaka mambo za kuhama pale nkaparangana mpaka nkahamia mjengo mmoja iv mwez wa 6 mwaka huu humo tunakaa wanachuo kibao sas pale n kama competition tu afu mtonyo wenyew sna.
Nawaza bora kule nlipkuwa japo nna jko saiv ila kodi inanifany sometimes inanfanya napkga miayo nikiwa ndan ya self yangu. Saiv nangoja matokeo tu ya heslb apa
Rice cooker bei gan mkuu ?Ukitaka kujua vitu muhimu vya kuanza navyo tumia formula hii kufikiria daily routine then vitu utavijua chap
Kila kimoja ntakipa namba yake
Let's gooo..
Ukiamka asubuhi(kabla ya kuamka ulilala ulilala wapi?si kitandani [emoji23][emoji23]
So unahitaji kitanda,neti na mashuka yake(1)
Haya tuendelee ukishaamka asubuhi utaenda kuoga,sasa utaogaje bila ndoo na kopo?labda kama kuna bomba la mvua bafuni [emoji23] ila kama hamna unahitaji ndoo.sasa hayo maji ya kuoga utayatoa wapi? Si Kwenye dumu la maji
So unahitaji ndoo na madumu ya maji kuhifadhi maji(2)
Ukishaoga utarudi zako ndani kuvaa nguo sasa utavaaje nguo bila kupiga pasi ??acha ushamba [emoji23] kuwa smart bhana
So unahitaji pasi ongezea na extension cable hapo au utachomeka pasi ukutani upigwe shoti ufe (3)[emoji23][emoji23]
Ukishavaa nguo zako baada ya kupiga pasi si utahitaji kula breakfast either ukanunue mihogo kwa mama ashura au ule kiporo cha ubwabwa cha jana usiku sasa hicho kiporo ulikiweka wapi? si Kwenye vyombo mjomba [emoji23][emoji23] utakulaje bila vyombo si utatumia sahani,mabakuli na masufuria na vikombe na vijiko(4)
Halafu kijana haupo serious hicho kiporo unadhani kilishuka kimiujiza kutoka mbinguni si ulitumia jiko kupika[emoji23](5) jiko la gesi ndo zuri kigheto ghetto chap kwa haraka
Sasa ukishakula si utatoka kwenda Kwenye mishe zako bro ghetto kumbuka haujaweka mapazia watu watachungulia ndani[emoji23](6) weka pazia bhana for privacy
Sasa si umeenda Kwenye mishe zako baadae ukirudi ghetto usiku
Utakua umechoka utaenda kuoga maji si yapo Kwenye madumu[emoji23][emoji23] chukua ndoo kaoge
Ukishaoga si utakua na njaa utatumia jiko na vyombo kupika utakula utashiba
Sasa ukishashiba nini kinafuata? si kulala
[emoji23]
Kitanda neti na mashuka si yapo haya kalale[emoji23][emoji23]
Afu kabla hujalala weka simu charge,extension cable si ipo bhana
Sema dah ongeza na feni mjomba si unajua joto Kali (7)
Mpaka hapo umeshajua vitu muhimu vya kuanza navyo yani unapoamka mpaka unapoenda kulala umevitumia ni hivo
1:kitanda neti na mashuka
2:ndoo na madumu ya maji
3😛asi na extension cable
4:Vyombo
5:Jiko
6😛azia
7:Feni
Game over.....
Vingine vya ziada
Tv, subwoofer, sofa,coffee table,fridge,kabati..
Nawasilisha.
Inaanzia 50k na kuendeleaRice cooker bei gan mkuu ?
Na mdoll wangu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Makini sana hiii [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji119][emoji119][emoji119]Wanangu tuzidi kupambana,maisha yenye unafuu yapo kama tutaongeza juhudi. Pia tusiache kuzingatia sana sehemu ambayo tunarudi kulala kila siku baada ya mihangaiko.
Haijalishi uko bize kiasi gani ila hakikisha kwako unapajali hata kama ni single room.
Ghetto likiwa bora kiasi hata morrale ya kuwahi kurudi ghetto huongezeka, hata mood ya mapambano ya shilingi huongezeka pia.
Kurefresh ni muhimu wanangu wa maghettoni ila tusijisahau sana,hapa namaanisha kwa mtu mwenye kipato cha laki 3 kula bata la laki 1 hiyo ni anasa. Tununue vitu ambavyo vitakua kama namna moja au nyingine ya kutunza pesa zetu. Hapa namaanisha nunua furnitures, electronic devices,KIWANJA (kama kipato kina ruhusu),etc.
Hii itasaidia hata kama siku huna pesa mkononi ila unakua unaiona pesa katika angle nyingine ya assets na vinginevyo.
ZINGATIA: PENDA GHETTO LAKO,HESHIMU GHETTO LAKO"
Si kila mtu anapaswa kulazwa ghetto kwako.
Nimepata sehemu ya kuanzia, nitaleta mrejesho baada ya mwezi mmoja. Be blessed bro.Kama demu anaeleweka, basi utafanya mengi ya maendeleo ndani ya muda mfupi.
Nilivyoamuaga kupanga, soon nikaanza kuishi na mwanamke. Nilikuwa nikipata 300k, yeye nampa 250k, alaf namwambia hii ndio ipo, utaplan ufanyie Nini, lakini utakachofanyia naomba uniambie.
Nilinotice mle ndani vitu vikaanza kuongezeka mdogo mdogo, mara vyombo, sufuria, rice cooker, pressure cooker etc. Kuna kipindi nikamwambia nataka tuanze kudunduliza tununue Tv na king'amuzi. Budget yangu kwenye Tv ilikuwa 400k kwa inch 32. Hiyo siku nikampa 200k, aitunze ili next month nijazie ikamilike na king'amuzi, hakupokea Ile hela, akaniambia subiria, akaenda kupekua pekua kwenye nguo zake akanja na 700k (kumbe alikuwa anawekaga akiba), plus Ile 200k tukawa na 900k, akaniambia kanunue Tv kubwa, next month ndo tutabuy king'amuzi. I was surprised, sikuexpect that.
After that day, kuna siku tunachek tamthilia after kula, akaniambia Kodi hii ikiisha, tukalipia tena itakuwa mara ya mwisho kukaa hapa, inabidi tuhamie sehem yenye chumba na sebule. Nikamuuliza tutaweza kumudu gharama za chumba na sebule? Akanijibu Kila kitu kinawezekena tukijipanga, ndio maana nimekushirikisha mapema. Na kweli, after a while, tukahamia sehemu nyingine.
Hata ikitokea mishe zimekuwa tight kiasi gani, kahela kadogo ninakokapata huwa namkabidhi yeye asimamie matumizi yake, kwa upande wangu Niko very careless na hela, uwepo wake umenifanya ni accomplish vitu vingi ndani ya muda mchache, ambavyo peke yangu nisingeweza maana Hela yangu nyingi ilikuwa inapotelea kwa muhindi (betting).
Sina mchongo wa maana hapa Mjini, lakini friji Iko full, mchele, unga na mboga mboga zipo, kiasi kwamba hata nikisota mwezi, tunauhakika wa kula na kulala sehemu nzuri. Washkaji zangu wakijaga kunitembelea huwaga hawaamini wanachokiona.
So, back to the topic mkuu Secret ID kama huyo manzi anaeleweka, jilipue tu, haya maisha tunayoishi Kila kitu tunachofanya ni tunabet, results zitajishow mbeleni.
Akikufia ndani napo msala mkubwa. Utampeleka wapi, kesi inakuhusu hapo.Ndiyo hivyo,habari za kuokotana na kuwekana ndani ni risk,wadada baadhi wamekuwa wezi hatarii,
Kakuibia utaenda kushtaki kwa nani?
Na hata kama ndugu zake wanajua unaishi nae,demu akikupiga tukio wanakukana/hawakujui maana hautambuliki kwao.
Ulimpata mwanamke anayejielewa. Fikiria kuna mtu ana mwanamke ambaye akijua umepata hela tu anawaza kununua madera, viatu vyenye manyoya, kula vizuri(anasa),ukisema utunze hela huikuti ameitumia kwa matumizi usiyoyajua..huyu unaweza kuishi naye kweli ukiwa unaanza maisha na ukatoboa kweli?Kama demu anaeleweka, basi utafanya mengi ya maendeleo ndani ya muda mfupi.
Nilivyoamuaga kupanga, soon nikaanza kuishi na mwanamke. Nilikuwa nikipata 300k, yeye nampa 250k, alaf namwambia hii ndio ipo, utaplan ufanyie Nini, lakini utakachofanyia naomba uniambie.
Nilinotice mle ndani vitu vikaanza kuongezeka mdogo mdogo, mara vyombo, sufuria, rice cooker, pressure cooker etc. Kuna kipindi nikamwambia nataka tuanze kudunduliza tununue Tv na king'amuzi. Budget yangu kwenye Tv ilikuwa 400k kwa inch 32. Hiyo siku nikampa 200k, aitunze ili next month nijazie ikamilike na king'amuzi, hakupokea Ile hela, akaniambia subiria, akaenda kupekua pekua kwenye nguo zake akanja na 700k (kumbe alikuwa anawekaga akiba), plus Ile 200k tukawa na 900k, akaniambia kanunue Tv kubwa, next month ndo tutabuy king'amuzi. I was surprised, sikuexpect that.
After that day, kuna siku tunachek tamthilia after kula, akaniambia Kodi hii ikiisha, tukalipia tena itakuwa mara ya mwisho kukaa hapa, inabidi tuhamie sehem yenye chumba na sebule. Nikamuuliza tutaweza kumudu gharama za chumba na sebule? Akanijibu Kila kitu kinawezekena tukijipanga, ndio maana nimekushirikisha mapema. Na kweli, after a while, tukahamia sehemu nyingine.
Hata ikitokea mishe zimekuwa tight kiasi gani, kahela kadogo ninakokapata huwa namkabidhi yeye asimamie matumizi yake, kwa upande wangu Niko very careless na hela, uwepo wake umenifanya ni accomplish vitu vingi ndani ya muda mchache, ambavyo peke yangu nisingeweza maana Hela yangu nyingi ilikuwa inapotelea kwa muhindi (betting).
Sina mchongo wa maana hapa Mjini, lakini friji Iko full, mchele, unga na mboga mboga zipo, kiasi kwamba hata nikisota mwezi, tunauhakika wa kula na kulala sehemu nzuri. Washkaji zangu wakijaga kunitembelea huwaga hawaamini wanachokiona.
So, back to the topic mkuu Secret ID kama huyo manzi anaeleweka, jilipue tu, haya maisha tunayoishi Kila kitu tunachofanya ni tunabet, results zitajishow mbeleni.