Ulianzaje kukaa gheto?

Big Up sana Mkuu
 
Kaka unamke hapo
 
Wadau naombeni kufahamishwa jinsi kutumia Smart TV upande wa internet ya kwaida siyo Wi-fi
Kwa ninavyofahamu zinakuwaga na Ethernet port so unaweza tumia hiyo kwa kutumia Ethernet cable kuunganisha na router! Mwenye ujuzi zaidi aongeze!!
 
Waliowahi kuishi nyumba ya kupanga ambayo wapangaji wote mnashare mlango mkubwa wa kuingia na kutokea ,kero zipi mlipitia kabla hatujitosa ,tupeni Muongozo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…