Ulianzaje kukaa gheto?


Kwanini usichonge funguo wako?
 
[emoji28][emoji28][emoji28]Chakula kidogo sana aisee

Mmh hiyo sufuri ni kubwa sana hicho chakula wanakula zaidi ya watu watano,...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama unakula hicho chote basi wewe utakuwa unachofanya ni kula tuu maishani..
Hicho chakula ni kingi kwa mtu mmoja!
 
Hahahahaj wamekuwekea mijanaba yao mijasho kwenye mashuka na godoro lako.

Mi LAANA yao wanakuachia

Halafu utafua hayo mashuka na kondomu zao.

Kumbuka ni ghetto lako Hilo[emoji1]

Mimi siruhusu mwana kuchapia kwenye room yangu

Hata kulala tu kwangu siruhusu kabisa.

Mambo ya kujibanabana huwe sipendi
 
Mmh hiyo sufuri ni kubwa sana hicho chakula wanakula zaidi ya watu watano,...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama unakula hicho chote basi wewe utakuwa unachofanya ni kula tuu maishani..
Hicho chakula ni kingi kwa mtu mmoja!
Kuna jamaa flan enz izo ,walikua wanafuturisha bhas tukaend pale jion misos ming ming tu imewekw jamaa akaanz kukusany sahan Kam 7 ivi, Hii tukamuuliz wee vyot ivi unamaliz jamaa akasem "mbon vyakul vyenyew vidogo sna ,raia tukabak tunashangaa😅😅😅
 
Kumbe alikua anafanyag mashindan ya kula anakul chapati 8 za ujazo +supu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…