Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Hakuna Tuzo ya Mtesekaji BoraNavyojua mimi ghetto ni mkeka tu kama hadi tv unayo basi unaishi nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Tuzo ya Mtesekaji BoraNavyojua mimi ghetto ni mkeka tu kama hadi tv unayo basi unaishi nyumbani
Kweli mze wanguHakuna Tuzo ya Mtesekaji Bora
Hivi kwa Tunduru biashara gan inalipa..?Tunduru mjini,mbesa,nalasi,mchoteka
Asabuhi njema[emoji39]View attachment 2388642
Wadau hii changamoto ya kufungiwa geti nyie hamkutani nayo!??..yan saa mbili tu tayari hawa mademu washalock geti,nimemind kichizi hawa mademu lakini hawaelewi,sasa hivi nimelala Kwa demu wangu ila pale gheto nimegonga sana geti,nimewapigia sana simu wanakaushia..hii nyumba mwezi wa 12 sitoboi lazima nihame
😅😅😅Chakula kidogo sana aiseeMbona hicho chakula ni cha watu zaidi ya 6? Au unakula suku ngapi hicho?
[emoji28][emoji28][emoji28]Chakula kidogo sana aisee
Madini na mahitaji kwa jumla niliiona watu wanatoboa sanaHivi kwa Tunduru biashara gan inalipa..?
Bachelor kwa kula tupo vizuri.Bachelor things [emoji23][emoji23][emoji23] View attachment 2395772
Hahahahaj wamekuwekea mijanaba yao mijasho kwenye mashuka na godoro lako.Hii kitu toka nlipotoka kupanga na mshkaji kilikua kinakera sometime wanae wanakuja kumuazma geto apge show na dem wake mi natoka misj nakuta geto kuna mtu afu hausk na hata kulipa umeme toka hap mpka leo nmepanga tena siwez muazma mshkaji geto aje kulala na dem wake hata iwe tunashibana vp apo atanisamehe juz kat kaja mwanangu et nimuazme geto yaan godor jipa shuka mpya kitanda kipya mi mwenyew sijawah hata kuingza demu afu yy aje ato()bee kwenye geto langu likamuangalia nkamchinjia bahrini toka sku hy hajaja geto kunitembelea kbsa mpka leo[emoji1787][emoji1787]
Tunakula mboga bila ugali 😂Bachelor kwa kula tupo vizuri.
Kuna jamaa flan enz izo ,walikua wanafuturisha bhas tukaend pale jion misos ming ming tu imewekw jamaa akaanz kukusany sahan Kam 7 ivi, Hii tukamuuliz wee vyot ivi unamaliz jamaa akasem "mbon vyakul vyenyew vidogo sna ,raia tukabak tunashangaa😅😅😅Mmh hiyo sufuri ni kubwa sana hicho chakula wanakula zaidi ya watu watano,...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama unakula hicho chote basi wewe utakuwa unachofanya ni kula tuu maishani..
Hicho chakula ni kingi kwa mtu mmoja!
Mahitaj haya haya ya Nyumban?? kama sukari, ngano etc..!Madini na mahitaji kwa jumla niliiona watu wanatoboa sana
Yeah mchanganyiko mchanganyiko maana watu wa bushi wanafika sana kuchukua stock townMahitaj haya haya ya Nyumban?? kama sukari, ngano etc..!
Shukran sanaYeah mchanganyiko mchanganyiko maana watu wa bushi wanafika sana kuchukua stock town
Hiki chumba bei ganiBaada ya mwaka tangu nimeanza kuishi ghetto. View attachment 2399148