Ulianzaje kukaa gheto?

Nikuoe namba za wataalam
 
Mi Adamu, Hawa ndio alienishawishi kula tunda la mti wa Kati.
 
Sentensi yako ya mwisho nimeipenda sana.
Kabisa Mkuu, ghetto ni mahala pa kuheshimika, ghetto ndipo unaporudi kupumzisha akili na mwili ukitoka kuzisaka so sio poa kulaza laza kila mtu. Wahuni wanasema,baraka huanzia mahala unapoamkia (Ghetto), so tupunguze hizi ingiz toka ili kulinda BLESSINGS za ghetto.[emoji109][emoji109][emoji109]

NB:
Inafariji sana kurudi na buku 3 kwako(ghetto) kuliko kurudi na laki moja kwa shemeji yako.
 
Mashallah mtoto wa kiume mrembo
 
Safi sana bishoo[emoji109][emoji109]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…