Ulianzaje kukaa gheto?

Ubarikiwe[emoji1545]

Kuna vijana kila mwanamke wakiokota huko wanapeleka gheto hii haipo sawa,
 
Ubarikiwe[emoji1545]

Kuna vijana kila mwanamke wakiokota huko wanapeleka gheto hii haipo sawa,
Uko sahihi Mkuu, kwanza hata issue ya kuwa na mahusiano mengi nayo haijakaa poa si tu kwa kijana mtafutaji ila hata kwa mtu yeyote yule. Ukiachilia mbali kwamba unaathiri uchumi wa huyu mtafutaji,pia kuna athari nyingi sana nyinginezo ni za kiroho pia.
 
Ado ado washkaji nimevunja kibubu hapa nimechoka sina hata mia mazee,nimejilipua lakini fresh hela inatafutwaView attachment 2427087

Hongera
Akili uliyotumia kufanya servings kununua tv na subwoofer
Ile ile itumie kufanya vingine vikubwa
Nunua vitu vyote vya kukaa ndani
I mean make sure ukirud geto ni sehemu itakufanya u refresh akili yako itulie
Ukimaliza anza kuweka fedha nunua kiwanja
Mwaga mawe
Mchanga anza kuinua kidogo kidogo

Vitu vyote tunayonafasi yakuanavyo as long as tumeweka malengo
Kikawaida malengo ndio humuendesha mtu
Hopefully next days tukaona nyumba yako na vingine vijubwa
Keeps it up man[emoji1316][emoji1374]
 
100% 💪💪💪
 
Mmmh nawasiwasi na upataji wako wa pesa ya hivyo vitu vingii....
 
Yeah umenena vyema kabisa, hii ya kuweka vitu na kuwauzia umenipa darasa kubwa sana. Maana nafanya kazi ya drilling na blasting explosive hua tunanua ghalani, sijawahinkuwaza kununua vingi kuvisave kwa ajili ya kuuza nikipata kazi.
Nunua hivo vibati,cotex,futa na mazaga mengine kikubwa tafuta eneo zuri uweze kufihifadhi,unakua unawauzia wachimbaji mdogo mdogo,vinalipa sana mkuu
 
Oya uliipiga kibabe hivo ndio safi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Yeah ila dah hao wenye nyumba jau maana asilimia 80% ya watu majumbani wameweka Tv ukutani
Me napokaa kipindi nahamia nimepewa notice/mkataba kusoma kuna kipengele HURUHUSIWI KUTOBOA UKUTA ila nachoshukuru mwenye nyumba madirisha yote katoboa kabisa kaweka bomba za kuwekea pazia na ukutani kwenye tv katoboa kabisa kama mtu utataka kuning'iniza Tv uweke so kazi ni kwako mpangaji.
 
Huyo mwenye nyumba ni smart

Ila wengine unaambiwa usitoboe halafu hamna mafekeche aliyofanya inakua noma mpaka umtafute fundi akufanyie wepesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…