ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Hapana mkuu Kuna mademu wawili nawajua wamenunua Yale matanda,...less than one year hamna kitu
Na yanauzwa ghali kweli
Kwenye kitanda kunahitaji umakini Sana wakuu..kitanda ndo gheto lenyeweUshabadili ?
Natamani yale ma sofa bed
Kila fundi nayekonektiwa nae ni bei nje ya umri 🤣 (1m, 850,
Fundi wangu wa vitu vingine akasema akipunguza sana mwisho mia6
Na wakati mavitanda nayaona istagram wanatangaza laki 2 na nusu 🥹
Sijabadili,mie nilikuwa nataka bed sofa lkn nilivyotajiwa bei nikapita hiviii[emoji16],Ushabadili ?
Natamani yale ma sofa bed
Kila fundi nayekonektiwa nae ni bei nje ya umri [emoji1787] (1m, 850,
Fundi wangu wa vitu vingine akasema akipunguza sana mwisho mia6
Na wakati mavitanda nayaona istagram wanatangaza laki 2 na nusu 🥹
Nitumie huo uwanjaeeeh njoo basi tuishi uku mabibo Nikupende nikupe na uwanja wangu.
Jaman mbona unanitisha, changu kina miez kama 6 hivi kwa hiyo nijiandae balaa muda wowote [emoji848]Hapana mkuu Kuna mademu wawili nawajua wamenunua Yale matanda,...less than one year hamna kitu
Usitishike banaJaman mbona unanitisha, changu kina miez kama 6 hivi kwa hiyo nijiandae balaa muda wowote [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 kitandike shuka nzuri na mito mingi kifiche hiyo kasoro unayoiona.Sijabadili,mie nilikuwa nataka bed sofa lkn nilivyotajiwa bei nikapita hiviii[emoji16],
Nikamchorea fundi anitengenezee cha mbao lkn sijaridhika nacho sivyo nilivyohitaji,
Nikikitizama napata hasira ya kukibadili hata miezi sita haijatimia,
Sema tu tatizo pesa[emoji16]
Hao sio mwakan nataka nichomoke hm nanunua vtu taratibu.Hongereni vijana, hii spirit ya kujitegemea nimeipenda. Ila mkishindwa huko msisite kurudisha mpira kwa Emmi Martinez, sio dhambi wala kosa.
Ili ujengewe na mwanaume mwingine hahahah .Nitumie huo uwanja
Tunakujaaa twin akee.Kama upo Dar ukihitaji kitanda nicheki PM....njoo na picha ya Design unayoitaka na utatengenezewa design yoyote unayoitaka.
Furniture zetu ni bora hivyo zitakuondolea gharama za kununua mara kwa mara
Inawezekana chako Kiko vizuri mkuu ...ila hiyo Mitanda sio kabisa,..na mademu wanaipenda Sana ndo maana bado Yana soko Sana.Jaman mbona unanitisha, changu kina miez kama 6 hivi kwa hiyo nijiandae balaa muda wowote [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Katoto kacho.ko hako hakuna chochote kanachojua kuhusu maisha zaidi ya kunyoa kwa mpalange tayari kwa kutafunwa..Acha zarau
Na vp kuhusu zile sofa bed ambazo huoni ubao zaid ya chaga? Utajuaje kama n fake au og wakat pande zote kimezungushiwa vitambaa?Vile vibovu wanatumia mbao za hovyo na wana vipaka rangi ili kuficha aina ya mbao na wanauza kwa bei kubwa kwa machoni utaviona vizuri kumbe vibovu, tatizo la vijana wa sikuizi hawa jui aina za mbao kuna mbao ngumu na imara na kuna mbao ambazo zina shambuliwa na wadudu, kama una pesa nunua kitanda cha mbao za Mninga au mkongo hivi vitanda vina pakwa vanishi na havipakwi rangi, ukiona Kitanda kime pakwa rangi husinunue mbao yake ni mbovu.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Si vitanda tu hata coaches mbao zinazotumika ni reject au zilizotumika kwenye ujenzi.Inawezekana chako Kiko vizuri mkuu ...ila hiyo Mitanda sio kabisa,..na mademu wanaipenda Sana ndo maana bado Yana soko Sana.
Sasa watawezaje kutofautisha kitanda cha mninga/mkongo na ambacho sio? Ni nn utofaut wa mbao ya mninga na ambayo sio ya mninga kwa kuiangalia?Sasa sana Wanawake ndiyo wana pigwa sana, yani hawa jui haina ya mbao zilizo tengeneza kitanda wenyewe wakiona kitanda kimependeza wana nunua kwa bei kubwa bila kuangalia ubora
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hizi pesa zenyewe ndo umeshika hiyo hiyo huna nyingine ununue kitanda na sofa alafu upigwe ni uchawi kurududishana nyuma.Si vitanda tu hata coaches mbao zinazotumika ni reject au zilizotumika kwenye ujenzi.
Godoro zinazotumika ni low quality, vitambaa ndo hovyo kabisa
Mimi siishi Dar, Au maeneo yoyote ya mjini. Mimi nipo ndani ndani huku ambako hata hicho chumba unavyokiona ninan uhakika wa usingizi mnono mvua ikinyesha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huo ukuta vipi? Hata pluster imeshidkan? Vipi mwenye nyumbaa n mstaafu? Hela zimekataaaa?
Afu huko uswahilini sanaaaa eeeh. Fanya ukarabati afu ndo uweke vitu vyako vya thaman, sasa hapo utadhan store vimehifadhiwa kwa dharura. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app