Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Mkoani sina mkuu, kama kuna vitanda vya kijanja mnavijua niambieni nichukue kimoja.
Kama unataka kitanda imara na kizuri usiwe na haraka, kwa Dar wapigaji ni wengi sana mwanangu, unanunua kitanda baada ya miezi 4 tu unaanza kuskia wadudu wanapokezana Kula Mbao

Jaribu kuongea na mshkaji huyo wa Iringa ili uone kama anaweza kukutolea kitu unachokitaka na kama mtafikia makubaliano basi uagize kwake

Na kama itashindikana basi itabidi umcheki jamaa mwingine ye yupo Iringa pia na wala hanaga shida, unamcheki mnayajenga kisha anakupa terms zake and conditions basi unakaa kusubiri Mali yako ambayo ni kweli Mninga

ila kama hizo condition zitakuwa ngumu basi tafuta washkaji wenye mazoea na mafundi wa Dar wakupeleke eneo la tukio ili usipigwe, Dar kuna mbao za ajabu sana ndugu yangu, ukikuta imepigwa Rangi unasema furniture sindo hii sasa...! Sasa subiri balaa lianze
 
Kama unataka kitanda imara na kizuri usiwe na haraka, kwa Dar wapigaji ni wengi sana mwanangu, unanunua kitanda baada ya miezi 4 tu unaanza kuskia wadudu wanapokezana Kula Mbao

Jaribu kuongea na mshkaji huyo wa Iringa ili uone kama anaweza kukutolea kitu unachokitaka na kama mtafikia makubaliano basi uagize kwake

Na kama itashindikana basi itabidi umcheki jamaa mwingine ye yupo Iringa pia na wala hanaga shida, unamcheki mnayajenga kisha anakupa terms zake and conditions basi unakaa kusubiri Mali yako ambayo ni kweli Mninga

ila kama hizo condition zitakuwa ngumu basi tafuta washkaji wenye mazoea na mafundi wa Dar wakupeleke eneo la tukio ili usipigwe, Dar kuna mbao za ajabu sana ndugu yangu, ukikuta imepigwa Rangi unasema furniture sindo hii sasa...! Sasa subiri balaa lianze

Hii ni kweli mkuu. Kitanda changu kinaliwa na wadudu na hata sielewi wametoka wapi na wameingiaje. Nikipata hela nabadilisha kwakweli.
IMG_8319.jpg
 
Wadau nina 800k nataka ninunue kitanda na godoro zuri vya kudumu ila juzi kati nilienda kwa fundi wa vitanda akaniambia kitanda kizuri cha mbao za mninga minimum niwe na 800k akanionesha na picha baadhi ni vizuri kiukweli nikamwambia nitarudi ngoja nijipange, ninachotaka kujua ni kweli vitanda vya mninga vina bei kiasi hicho? au kama kuna mtu anajua sehemu naweza pata kitanda kizuri cha kudumu aniambie wakuu at least 600k naweza kununua.
Kwa Dar ni halali, ila mkoani kwetu ni 450k - 500k. Sema gharama ya usafiri ndo hapo sasa.
 
Hivi kwa tusioweka stand ya friji, tuko salama?


Wadudu hapo shida ni mbao
Ndio maana wengine walijiamulia chuma kama wako hospital [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cha chuma umpate fundi ajue kukiundaa ni hatareeee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaaa nikae nyumba yenye wapangaji wengi, si ndo ntakua maongezi ya kila vikao vyao.

Nashukuru nilipo kila mtu ana mind bussiness zake. Afu sio majobless, jobless n mie pekee angu.
Jobless na umepanga[emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cha chuma umpate fundi ajue kukiundaa ni hatareeee.
😂😂 aweeee

Kinabowaaaa
Nimeanzia nacho maisha 2020
2022 nimekiondoa
Na nilikimix na miguu ya mbao lkn with a time nilikichoka tu
 
Nilianza kukaa geto siku jirani yetu aliponunua friji. Nakumbuka siku hiyo nilikuwa na kama elfu 50 mfukoni. Basi mida ya jioni jirani anashusha friji mpya kwenye box, mara akaomba nimsaidie kuingiza ndani. Baada ya hapo akatoa friji kwenye box. Lilikuwa box zuri, refu na lenye unene. Ghafla akili ikanijia nimeshapata godoro na kodi ipo mfukoni. Kesho yake mapema nikapata chumba uswahilini na maisha yakaanzia hapo. Ni miaka imepita tayari uchumi umekuwa imara na familia nnayo. Mpaka leo box langu huwa linakaa chini ya godoro langu, siwez kulitupa.
Aisee,
 
Hii ni kweli mkuu. Kitanda changu kinaliwa na wadudu na hata sielewi wametoka wapi na wameingiaje. Nikipata hela nabadilisha kwakweli. View attachment 2471899
Ndio hivo mkuu hizi mbao za Dar wanatupiga sana, hao wadudu wakianza Kula Mbao ule muda ambao umejituliza unaongea na halmashauri yako ya Akili wanakela sana

Pamoja na hao wadudu wala mbao mkuu, ila una gheto la kibabe Sana [emoji119]
 
Back
Top Bottom