D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Sawa boss mwezi huuMambo yakikaa fresh chukua meza za kuwekea jiko la gesi
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa boss mwezi huuMambo yakikaa fresh chukua meza za kuwekea jiko la gesi
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mkataba ni wa miezi minne kwanzaUnalipa miezi mingapi
Nahis ni kipaji kulangilia mi kila nikipanga naona bado vimekaa vibayMdeki maghetto hayo
Mfue
Mpange vitu kwenye mpangilio
Tafuta kitchen cabinets patulie zaidi.Sio mbaya kwa kuanzia wakuu
Hamna vya kumlipa dalaliMkataba ni wa miezi minne kwanza
Kisha hapo unaweza lipa mmojammoja
Pale hamna cha dalali mkuu.Hamna vya kumlipa dalali
Poa asantePale hamna cha dalali mkuu.
Ila ukifika pale ulizia ofisi ya madam maelekezo yote utapata pale
bado unaishi geto mkuu?Daaaah nimekumbukaa mbali sana nimemaliza chuo 2015 nimesota mno 2016 nikajilipua nikatoka home kigambon mpaka tabata cna kaz uzur nilikuwa nakila kitu kuanzia godoro kitanda fen redio tv chumba 70k nikalipa six month pesa niliomba nikabakia na laki hiv piga mishe kitaa na laki ikakata maisha yakawa magum sana nikawa nafanya kaz yyte iliyopo mbele yangu nimebeba tofali nimeuza sabun lkn wap baada ya miez mitano nikarudisha mpira kwa kipa nikaenda home nikakaa miez mitano nikasepa tena nikaona nihame mkoa mpaka sasa niko arusha mi siiti gheto naita nyumba sahiv nipo nishazoea.
Tafuta mbagala.Wakuu ni wapi nitafute chumba ili niwe nafika kwa urahisi City Center(esp Kisutu)
Kuna ambao wameniambia Kigamboni, Wengine Magomeni.
Na chumba( chenye choo ndani) kwa eneo hilo nitapata kwa bei gani?
Kulingana na maelezo yake anataka awe anafika Kwa urahisi City centreTafuta mbagala.
Sinza,Magomeni,Makumbusho,Kigogo,Ilala ,mwananyamala,Kinondoni kote uko unawahi kufika town gari moja tuWakuu ni wapi nitafute chumba ili niwe nafika kwa urahisi City Center(esp Kisutu)
Kuna ambao wameniambia Kigamboni, Wengine Magomeni.
Na chumba( chenye choo ndani) kwa eneo hilo nitapata kwa bei gani?
Nahisi wakati wa kupika ule mvuke unaganda ukutani pale ulipo mtungi
SiasaGetto la Elon Musk.View attachment 2590419
Elon na siasa wapi na wapi?Siasa
Mbongo akiwa ana 1m tu.... hilo geto halitatosha[emoji16][emoji16][emoji16]Getto la Elon Musk.View attachment 2590419
Mimi wakinipumbaza watakula hasara tu, hata hivyo kwangu naingia mwenyewe na kutoka mwenyewe. Hakuna kiumbe anaingia pale mahala,ni mahala patakatifu.Madem wengine ukiruhusu wakupikie umeisha maana naamin chakula ndo njia rahisi ya kumpumbaza mtu
MhMadem wengine ukiruhusu wakupikie umeisha maana naamin chakula ndo njia rahisi ya kumpumbaza mtu