Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Wanangu wa gheto! Mimi nimepoteza dira ya maisha tayari
Nimepata ajali ya bajaj.
Bajaj yenyewe ilikuwa ya mkopo ina bima kubwa nimelipa hela miezi sita tu

Sasa sijui kama ikipona ntapewa au mkataba wangu utaishia hapo.
Hilo pipe likiziba amini lipo jingine la kukupa riziki. Kabla ya hiyo kazi lazima kuna kazi ulikua unafanya,so amini kwamba utapata nyingine kama hilo pipe likiziba.
Hakuna kukata tamaa,pambana mpaka kiwakeee,sifa ya mwanaume ni kupambana haswaa! No matter what!![emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
 
Wanangu wa gheto! Mimi nimepoteza dira ya maisha tayari
Nimepata ajali ya bajaj.
Bajaj yenyewe ilikuwa ya mkopo ina bima kubwa nimelipa hela miezi sita tu

Sasa sijui kama ikipona ntapewa au mkataba wangu utaishia hapo.
Pia, mwanaume hapotezi dira,ila dira ndio inapotea yenyewe. So,kamata dira nyingine inayopita pita mbele yako,tembea nayo.[emoji109][emoji109]Ukianguka inuka Kaka,usilale ukisikilizia maumivu, maumivu huwa ni makali kama utayapa attention,yapuuzie. Vurugwa haswaa Mzee.
Keep fighting [emoji109][emoji109]
 
niko kijiji fulani. nimepata geto la elfu 30 kwa mwezi. Nyumba ni zile mijengo ya kizamani. vyumba viwili.
-ni self
-kina boiler kama nyumba zile za wazungu
-chumba cha kulala ni kikubwa ni kikubwa naweza weka pia seti ya sofa na kisijae.
Mashamba ya chai huko,au sio?
 
Pia, mwanaume hapotezi dira,ila dira ndio inapotea yenyewe. So,kamata dira nyingine inayopita pita mbele yako,tembea nayo.[emoji109][emoji109]Ukianguka inuka Kaka,usilale ukisikilizia maumivu, maumivu huwa ni makali kama utayapa attention,yapuuzie. Vurugwa haswaa Mzee.
Keep fighting [emoji109][emoji109]
Daaah nakubali kaka
Powerful sana
 
Back
Top Bottom