Earn the one
Member
- Aug 17, 2017
- 84
- 105
Habari zenu Wakuu. Leo nimetimiza miezi sita toka nimepanga picha namba Moja ni siku mojaa baada ya kupanga na picha namba mbili Hadi nne ni miezi sita baada ya kupanga
Mwisho tusikate tamaa tuzidi kumuomba Mungu sio lahisi lakini inawezekana
Asanteni sawa kwa kunitia moyo [emoji119][emoji119]View attachment 2606926View attachment 2606927View attachment 2606928View attachment 2606929
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Aisee tuendelee kupambana
Hivi hilo jiko ni shilingi ngapi limekaa vizuri