Ulianzaje kukaa gheto?

Daaahh uu uzi ulinihamasisha niingie magetoni, saiv naishi gheto nna kama miez 5 hivi ila pako pOa voz tuko wapangaji wote ni mabachela tu. ila ndo vile vitu vingi sina c unajua mwanzo mgumuView attachment 1175214
Daah we jamaaa umetisha sana mwanangu...yani hapo saiz uko zako free...huwazi wala nini

Kuhusu vitu ado ado unashangaa geto linajaa taratbu...bless sana mkuu
 
Nakumbuka mwaka jana niliaga nyumbani kua natak kusepa nikatafte maisha
Mzee Akanambi hakun kuondoka hapa had nione assets zako
Dah nkasem poa....
Miezi miwili mbele nkapata kaz... Nje kidogo ya mji basi ndo naishi hapa
Changamoto ni kupika na kufua tu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Samahan hatujatandika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu ww tumia life plan lazma utaweza tu
 
Hahah dah pole sana mkuu

Hiyo picha ya kwanza usje ifuta maishani mwako[emoji16][emoji1373][emoji1373]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah!
 
Waoh! Kuna watu mmehustle sana... hongera sana
 
Umeandika ukweli mtupu
 
Mkuu umegusa kila kitu hapa,hom panachosha kwanza..yani tabu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…