Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Ni wewe mkuu, we differ mkuu. nili beba dukani kabiSa.Slim kwa 550 labda kwa mtu ila zile used ukichukua dukani ni 650
Mimi nilichukua Ps4 slim kwa 650
Dodoma!!Wakuu kampuni gani nzuri ya magodoro? Nataka nipate 5*6 , pia sitaweka kitanda itakaa chini uchumi mgumu.
mkuu nicheki kwa 0767911491Tafuta 450 niongeze na waday, waku letee na pad 2.
Hapana mkuu, Nashukuru 🙏mkuu nicheki kwa 0767911491
Ni wewe mkuu, we differ mkuu. nili beba dukani kabiSa.
One among the seller ni mwanangu Sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyokooo wee, afu una masifa siku hizi,[emoji23][emoji23][emoji23]siku nkikushikisha ndio ntayabadiliii[emoji23][emoji23]
Mi kila Ninacho panga kuwa nacho, lazima nitafiti kuona loop holes.Aah unajuana na seller kumbe…..mi nilitafuta sana kwa 500 nikakosa kila sehemu ni 650 wengine hadi 700 huko ikabidi tu nichukue hivo hivo i had no other option mkuu[emoji28]
Nabonda io nanii hadi pazia zishuke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyokooo wee, afu una masifa siku hizi,
Nioneshee mapaziaa em, mxxieeeew!!
Mi kila Ninacho panga kuwa nacho, lazima nitafiti kuona loop holes.
Kununua kwa watu nilisha koma, nili wahi chukua lg nchi43, isi anze kuzingua taa.
Mi kila Ninacho panga kuwa nacho, lazima nitafiti kuona loop holes.
Kununua kwa watu nilisha koma, nili wahi chukua lg nchi43, isi anze kuzingua taa.
Nili ishi nayo kijerumani, Sema Baadae Nika wapa home.Duh ilikuaje sasa mkuu ulirudisha au uliishi nayo kijerumani
Nili ishi nayo kijerumani, Sema Baadae Nika wapa home.
Waka tumia kidogo, nao Waka iweka store.
Mimi jobless pro max tu mkuu.Aah pole boss
unatabiriwa uboss unaukataa😂Mimi jobless pro max tu mkuu.
Sija ukataa, nime Sena Hali yangu ya Sasa🤣😂😂unatabiriwa uboss unaukataa😂
😂😂 dah mkushi unazingua ww hali ya zamani ndo ulikua boss au sio 😂Sija ukataa, nime Sena Hali yangu ya Sasa🤣😂😂
😂 duh pole aisee hv kwann mnawaachia geto wana wasio na imani hawana uchunguDah, kuna mwanangu nilimuachia gheto nikaenda safari.
Nimerudi nimekuta jamaa kauza vitu vya ndani.