Ulianzaje kukaa gheto?

kelphin

Wee mapaziaa, em njoo hapa nioneshe km umebadilisha au laah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]siku nkikushikisha ndio ntayabadiliii[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyokooo wee, afu una masifa siku hizi,
Nioneshee mapaziaa em, mxxieeeew!!
 
Aah unajuana na seller kumbe…..mi nilitafuta sana kwa 500 nikakosa kila sehemu ni 650 wengine hadi 700 huko ikabidi tu nichukue hivo hivo i had no other option mkuu[emoji28]
Mi kila Ninacho panga kuwa nacho, lazima nitafiti kuona loop holes.

Kununua kwa watu nilisha koma, nili wahi chukua lg nchi43, isi anze kuzingua taa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…