Wakuu, ile kazi niliyokuwa naitegemea naona inachechemea kwahy suala la kuondoka hapa kwa shangazi naona liko 50/50 ila inshallah namuomba Mungu atie mkono mambo yarud kama kawaida. 😎Kuna kiasi cha pesa nasubiri kitimie, najua kitatimia kabla ya mwezi wa 10 ambao ndio mwezi naotaka kuingia ghetto.
Sasa hv nimefikisha 75% ya pesa nayoitaka kuanzia nayo maisha ya ghetto.
Sijaajiriwa Ila kuna mahali najitolea hvy kuna vipesa najipatia.
Nilitaka kukushauri hv hv, polish ya rangi ya maji hv ili king'aeNimemuambia nataka kiwe hvyo hvyo apige vanish yenye rangi ya maji.
Sawa, karibu uchukue notesNiliutafuta sana huu uzi.
Safi mzimaWANETU WA MAGHETONI NIAJE
MZIMA TUUUUUU TUPO TUNAPAMBANAAA NA LIFE HILISafi mzima
Upo chuo gani..?YEAHHH KUNA SONG MOJA LINAITWA SIR GOD NALIPENDA SANA HASA KWENYE ILE VERSW YA NILIUZA SIMU ILI NINUNUE MAZIWA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MIE NAONGEZEA NILIUZA RICE COOKE ILI NIKANUNUE WALI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,LOOKS FUNNY BUT SERIOUS ASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
JOBLESS GRADUATE SELF EMPLOYEDUpo chuo gani..?
Hiyo rice cooker ulitolea wapi.?JOBLESS GRADUATE SELF EMPLOYED
Kodi ya miezi sita inatosha kabisa mkuumuhimu
Apo ishu ni bodaboda tu mzee hakuna namna... Kwa sasa nimerudisha mpira kwa kipa sina harakati baada ya kazi yangu ya mkataba kuisha nafikiria kusomea driving niangalie upepo unaendajeWakuu tushauriane pia mishe za kupiga mtaani, siku zisonge tungoje hatima yetu ambayo ni kifo.
Mwezi wa 12 nakuja mjini(Dar es salaam), naamini ntakuwa na kama 3 million , tushauriane fursa za mitaji midogo kama hiyo ili mageto yetu yapendeze maradufu.
Ukiingia mjini usianze biashara na huo mtaji wako Mkuu. Ukaushie kwanza wewe uingie mchezoni kama winga mwanafunzi ma bro wakufundishe mishe mishe.Wakuu tushauriane pia mishe za kupiga mtaani, siku zisonge tungoje hatima yetu ambayo ni kifo.
Mwezi wa 12 nakuja mjini(Dar es salaam), naamini ntakuwa na kama 3 million , tushauriane fursa za mitaji midogo kama hiyo ili mageto yetu yapendeze maradufu.
Nashukuru sana mkuu.Ukiingia mjini usianze biashara na huo mtaji wako Mkuu. Ukaushie kwanza wewe uingie mchezoni kama winga mwanafunzi ma bro wakufundishe mishe mishe.
Baada ya kama miezi miwili/mitatu tumbukiza sasa 1m kwenye mishe utakayokuwa umei masta vizuri.
Hiyo 3m bila mambo mengi unaweza kuiona future kabisa Mkuu.
Kila la kheri.
Kakupa ushauri mzuri mnoNashukuru sana mkuu.
Movie kwa mbaaaliWazee wa mageton upishi wa kiume huo😋
View attachment 3066038