Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Wakuu, ile kazi niliyokuwa naitegemea naona inachechemea kwahy suala la kuondoka hapa kwa shangazi naona liko 50/50 ila inshallah namuomba Mungu atie mkono mambo yarud kama kawaida. 😎Kuna kiasi cha pesa nasubiri kitimie, najua kitatimia kabla ya mwezi wa 10 ambao ndio mwezi naotaka kuingia ghetto.
Sasa hv nimefikisha 75% ya pesa nayoitaka kuanzia nayo maisha ya ghetto.
Sijaajiriwa Ila kuna mahali najitolea hvy kuna vipesa najipatia.