Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Kuna kiasi cha pesa nasubiri kitimie, najua kitatimia kabla ya mwezi wa 10 ambao ndio mwezi naotaka kuingia ghetto.

Sasa hv nimefikisha 75% ya pesa nayoitaka kuanzia nayo maisha ya ghetto.

Sijaajiriwa Ila kuna mahali najitolea hvy kuna vipesa najipatia.
Wakuu, ile kazi niliyokuwa naitegemea naona inachechemea kwahy suala la kuondoka hapa kwa shangazi naona liko 50/50 ila inshallah namuomba Mungu atie mkono mambo yarud kama kawaida. 😎
 
YEAHHH KUNA SONG MOJA LINAITWA SIR GOD NALIPENDA SANA HASA KWENYE ILE VERSW YA NILIUZA SIMU ILI NINUNUE MAZIWA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MIE NAONGEZEA NILIUZA RICE COOKE ILI NIKANUNUE WALI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,LOOKS FUNNY BUT SERIOUS ASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
YEAHHH KUNA SONG MOJA LINAITWA SIR GOD NALIPENDA SANA HASA KWENYE ILE VERSW YA NILIUZA SIMU ILI NINUNUE MAZIWA,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,MIE NAONGEZEA NILIUZA RICE COOKE ILI NIKANUNUE WALI,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,LOOKS FUNNY BUT SERIOUS ASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Upo chuo gani..?
 
Kwa mwalimu Lucas Mwashambwa
IMG_20240615_150634_260.jpg
 
Wakuu tushauriane pia mishe za kupiga mtaani, siku zisonge tungoje hatima yetu ambayo ni kifo.

Mwezi wa 12 nakuja mjini(Dar es salaam), naamini ntakuwa na kama 3 million , tushauriane fursa za mitaji midogo kama hiyo ili mageto yetu yapendeze maradufu.
 
Wakuu tushauriane pia mishe za kupiga mtaani, siku zisonge tungoje hatima yetu ambayo ni kifo.

Mwezi wa 12 nakuja mjini(Dar es salaam), naamini ntakuwa na kama 3 million , tushauriane fursa za mitaji midogo kama hiyo ili mageto yetu yapendeze maradufu.
Apo ishu ni bodaboda tu mzee hakuna namna... Kwa sasa nimerudisha mpira kwa kipa sina harakati baada ya kazi yangu ya mkataba kuisha nafikiria kusomea driving niangalie upepo unaendaje
 
Wakuu tushauriane pia mishe za kupiga mtaani, siku zisonge tungoje hatima yetu ambayo ni kifo.

Mwezi wa 12 nakuja mjini(Dar es salaam), naamini ntakuwa na kama 3 million , tushauriane fursa za mitaji midogo kama hiyo ili mageto yetu yapendeze maradufu.
Ukiingia mjini usianze biashara na huo mtaji wako Mkuu. Ukaushie kwanza wewe uingie mchezoni kama winga mwanafunzi ma bro wakufundishe mishe mishe.

Baada ya kama miezi miwili/mitatu tumbukiza sasa 1m kwenye mishe utakayokuwa umei masta vizuri.

Hiyo 3m bila mambo mengi unaweza kuiona future kabisa Mkuu.

Kila la kheri.
 
Ukiingia mjini usianze biashara na huo mtaji wako Mkuu. Ukaushie kwanza wewe uingie mchezoni kama winga mwanafunzi ma bro wakufundishe mishe mishe.

Baada ya kama miezi miwili/mitatu tumbukiza sasa 1m kwenye mishe utakayokuwa umei masta vizuri.

Hiyo 3m bila mambo mengi unaweza kuiona future kabisa Mkuu.

Kila la kheri.
Nashukuru sana mkuu.
 
Back
Top Bottom