Ulianzaje kukaa gheto?

Oya wewe jamaa ni kama mimi tu,kuna nyakati zilifika nikawa nime-postpone masomo kutokana na kukosa ada but mwaka huu nikaamua kuendelea baada ya mambo kukaa sawa

Maisha haya sometimes yanakuwa kama funzo ndani yetu but tunachotakiwa ni kutokukata tamaa

All the best ma nigga
 
Oya nakubali ma men
 
Oya nani anapangisha gheto lake wakati wa xmas na new year. Gheto liwepo maeneo ya tabata kwa wala bata
 
Uko sahihi
Ila inategemeana na ulipo
Mfano nlipo mimi ni heri nkinunua
Nilipo mie heri nijipikie ghetto, buku nakula nashiba kabisa ila kula kwa mama ntilie ntaishia kujidhulumu nafsi na tumbo langu tu πŸ˜‚
 
Bed ~ empires πŸ›
Group la furniture bidhaa zote bedsofa, vitanda vya mbao showcase Nk unapata huko kwa bei chee kabisa tena free delivery.
 
Wazee wa magetoni, tupatieni connection za michongo ya kazi, na sisi tupange! Kutoka nyumbani kama hauna mchongo wa kufanya ni too risk ni kama kuvuta bangi karibu na geti la kituo cha polisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…