Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
[emoji23][emoji23] Bado sana[emoji1373][emoji1373][emoji1373] kiutani utani
Uoe sasa mkuu[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Bado sana[emoji1373][emoji1373][emoji1373] kiutani utani
Uoe sasa mkuu[emoji1787]
Kabla mwaka haujaisha Nina mpango huo..bimkubwa aongee tu nimeshaamua
NinajiwezaKama umepata/ukonayo shughuli ya kufanya ni sawa ..ila kama bado vyema ukaendelea kubaki home
Mkuu kweli umehustle. Big upSo kupitia mimi hope mtajifunza vijana wenzangu kuwa endapo utalitumia vizuri basi hakika maisha yak yatabadilika.pia la mwisho ni kumtafuta mwenza mwenye maono ila uiangukia kwa kwa hawa makahaba wa mjini utaishia kuhangaika mwisho wa siku unarudi nyumbani ukiwa na miaka 40,bila kufanya lolote
Jerrybanks
Ninajiweza
[emoji120][emoji120]Sawa mkuu maana mimi nilihofu kwa wewe mtu wa kike itakuwa ngumu ukikosa au ukiwa huna shughuli ,ila kama unajiweza nami nimebariki
Hahaa mkuu mikwara yote humu kumbe uko kwa mamaKabla mwaka haujaisha Nina mpango huo..bimkubwa aongee tu nimeshaamua
Niwache tafadhaliHahaa mkuu mikwara yote humu kumbe uko kwa mama
Mkuu ghetto limejaa, hapo inabd utafute kisebule
Hahha mabibo beach hahah napafahamu sana nimesoma NIT pia na nimekaa sana makutano ila maeneo ya mabwawani sijawahi jaribu wanachuo walikua wanalizwa sana paleSafari yangu ya ghetto ilianzia pale nilipokuja mjini dar kutoka mbeya nilifikia kawe ghetto la mshikaji wangu huku nikiwa napiga kitabu NIT mabibo sasa kutokana najamaa angu kutaka mimi ndo niwe msafisha ghetto mpikaji nikaona miyayusho nikajichanga nikapata ghetto mabibo la elfu 35 kwa wanaopajua mabibo mabwawani nawale wahuni aibu!!! Haaha ukipita wanauomba 200 ukiwanyima jiandae jioni unavorudi kutoka kuangalia UEFA haahhaha huku nikiendelea nakitabu na michakato yangu mabo hayakua mabaya nikavuta ghett sinza madukani nikahama mabibo nikawa mtu wa sinza huku nikiendelea namichakato yangu mana masomo yakasimama akati nipo 2rd year ivo nikajikita zaidi katika michongo nikawa mkulima nikawa natumia fursa inayopatikn kama kipindi cha korosho nazama kusini kama kipindi cha mpunga naingia kyela mbeya namshukuru Mungu saivi nimehamia bunju nalipa 150k per month na nina kijikampuni kinachohusiana na aluminium. ... mwisho wa story
[emoji23][emoji23] Bado sana
Vyumba sh ngp uko mzee na mm nakuja uko Chuo??Ile kufika tu chuo first year Morogoro, nikaulizwa utakaa hostel? Nikaambia hapana nitapanga mtaani, wakasema utaweza kweli nikaambia ndiyo. Bhas nikatoka home na godoro tuu nikatimba nalo sehemu nimepata chumba baada ya siku kadhaa nikaongeza mazaga kidogo. Ila mpaka leo nimependa style ya kulala chini na godoro tu na sijawaza kununua kitanda tena.
Changamoto kubwa ni kwenye kulipa kodi hapo ndo tunapelekeshana kweli na mwenye nyumba, maana maisha yanaenda bila mkopo. Ila now mwaka wa mwisho naenda sio mbaya nimezoea.
Aki maisha ya geto ni mazuri sana hasa ukiwa una mamisosi ndaniii.
YessIle kufika tu chuo first year Morogoro, nikaulizwa utakaa hostel? Nikaambia hapana nitapanga mtaani, wakasema utaweza kweli nikaambia ndiyo. Bhas nikatoka home na godoro tuu nikatimba nalo sehemu nimepata chumba baada ya siku kadhaa nikaongeza mazaga kidogo. Ila mpaka leo nimependa style ya kulala chini na godoro tu na sijawaza kununua kitanda tena.
Changamoto kubwa ni kwenye kulipa kodi hapo ndo tunapelekeshana kweli na mwenye nyumba, maana maisha yanaenda bila mkopo. Ila now mwaka wa mwisho naenda sio mbaya nimezoea.
Aki maisha ya geto ni mazuri sana hasa ukiwa una mamisosi ndaniii.
Karibu sana SUA bosi. Vyumba ni kati ya Tshs 30k hadi 50k inategemea na sehemu pia hadhi ya nyumba.Vyumba sh ngp uko mzee na mm nakuja uko Chuo??
Sijaona experience yako PO
1MWakuu kima Cha chini naweza anza life la geto ni kiasi gani kwa wazoefu wa mambo, kwa geto standard chumb safi chenye umeme
Sent using Jamii Forums mobile app