Ulianzaje kukaa gheto?

Unchozungumza ndo nnchoptia mda huu...nlmaliza chuo irnga vitu nkagawa kwa ndugu zangu maana mimi n wa hko hko

Sasa hv ndo nmepata kila kitu nnampango tar 30 nchomomoke

Lakin hapo kumbuka nmeghairi mara kbao tangu mwezi wa 8....kila hela nkpata naghairi kupanga naiweka kwenye biashara.....sasa hv ndo nnaona npo stable

Inawezkn mkuu....ukikaa home kuna mambo utashndwa ht kuyapanga
 
Ni kwel mkuu...naamini walioko vyuoni hapa wamejifunza kitu...Ahsante kwa mchango wako
 
Mkuu i salute you
 
Ni kweli kaka...mimi pia nishapata sana hela hapa katikati..lakin nikawa kila siku nasema nitasepa,mara inakuja idea ya kutaka kununua kila kitu kwanza kabla ya kwenda geto..mwisho wa siku hela naitumia..saiz ndio nmesema noo...ndan ya mwaka huu i have to go tu..
 
Lazima itakua ifm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…