Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Daa umepambna mkuu..Naamini saiz akili yako sio sawa na waliokaa nyumbani...
Daaaah nimekumbukaa mbali sana nimemaliza chuo 2015 nimesota mno 2016 nikajilipua nikatoka home kigambon mpaka tabata cna kaz uzur nilikuwa nakila kitu kuanzia godoro kitanda fen redio tv chumba 70k nikalipa six month pesa niliomba nikabakia na laki hiv piga mishe kitaa na laki ikakata maisha yakawa magum sana nikawa nafanya kaz yyte iliyopo mbele yangu nimebeba tofali nimeuza sabun lkn wap baada ya miez mitano nikarudisha mpira kwa kipa nikaenda home nikakaa miez mitano nikasepa tena nikaona nihame mkoa mpaka sasa niko arusha mi siiti gheto naita nyumba sahiv nipo nishazoea
 
Mkuu ulijilipua kweli..ukizingatia hta godoro hukua nalo...naamini hapa umetupa somo la uoga..thanks mkuu
Nilipanga gheto nkalipa kodi ya miezi miwili nlikuwa sina godoro mwenye nyumba akinisaidia godoro, nikaanzia kulala chini. Ila saiv gheto limejaa
Nipo kwenye process za kumalizia nyumba yangu
 
Geto kama unaishi mwenyewe usipokuwa malayaa bhasi Mpigaa nyetooo balaa
Hayo ni mawazo machafu bro. Geto usipokuwa na shughuli au kazi maalumu lazima mawazo ya umalaya na uchaf mwingine yakujie. Lakin ukiwa na kaxi inakutoa asubuhi inakurudisha usiku. Huo muda hauna.
Si wote wako hivyo, geto si danguro
 
Kufupisha story ni kwamba gari ile niliifanya uber kipindi hicho ndo uber imeanza hope nilizisha mapambano kwani nlikuwa nahakikisha nalaza laki kila siku ya mungu na wife wakati yupo na ujauzito mkubwa akaajiri mtu wa kusambaza vitu vyake kwa wateja huku na mimi nikisambaza vyangu kwa gari huku wakati mwengne nikimsambazia na yeye,mwisho wa siku nilifungua duka ambalo wife baada a kujifungua akawa ndo msimamizi na pia deni la mzee la 20k kila siku nililitimiza na mwisho wa siku gari ikawa yetu,nakumbuka siku ya harusi babamkwe akatupa kiwanja kwa ksema altupa mtihani wa kujinunulia wenyewe means ile hela tulokuwa tunampa kila siku aliitu za na kutununulia zawadi ya kiwanja huk nasi tukiwa na vingine vitatu hiyo ndo story yangu ya geto ambayo imenipa mke na nyumba ambayo naimalizia now,watoto wangu mapacha,pamoja na gari 3,maduka na biashara nyingine na kunifanya nisahau kuajiriwa japo nna degree yangu ya first class
Tunakufuatilia maana humu ndani kuna wakina shigongo wengi sana...
 
Mimi nina 23 years now, nimeanza kuishi geto nikiwa na miaka 19, baada ya kupote ada ya chuo million 2 na nusu ila saiv maisha yanaenda vzr tu namshukuru Mungu kwa kupoteza hela nilikimbia kipigo cha mzeee baba
Mwanamke anayekaa geto lake bila ya utegemezi wa wazazi/bwana wake huwa namuappreciate sana
 
Back
Top Bottom