Ulianzaje kukaa gheto?

Tokea nipange chumba mm ilikuwa hata likizo siend home natulia geto na hii ndo ilikuwa kimoja mpaka leo nyumban naenda kusalimia tu washukuriwe sungu sungu popote walipo
 
Sana Sana kakaka,akir inasave mazingila
 
Kijana wa kileo kwa Afrika kwetu, ni we mwenyewe kupambana ukingoja ndg wakusaidue utaumia sana, pambana ww km ww
 
Nilianza kukaa geto sina hata shuka la kujifunika, kile chumba kilikua ndo kimemaliza kukarabatiwa kukawa na ubao flani hivi umeachwa ndani, ndo nikawa nalalia ule ubao ili nisiumie na baridi kali ya sakafu, ubao wenyewe ulikua ni mfupi Sana ilinibidi nijikunje hadi magoti yaguse kifua ndo unitoshe... Sikua na namna niliishi hivyo hivyo had Mungu aliponifungulia kdogo katika rehma zake
 
mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn

haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn
Pole mkuu Mungu atakujalia rehema zake utasimama tena, amini wewe sio wakwanza kudondoka mimi nilichoma laki 750 kwenye kuku na juice mkuu hiyo nilidunduliza tmiaka 3 ya chuo na biashara yangu ya kwanza ndo ikala mweleka...

ulikuw unafanya biashara gani na upo mkoa gani mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…