Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tokea nipange chumba mm ilikuwa hata likizo siend home natulia geto na hii ndo ilikuwa kimoja mpaka leo nyumban naenda kusalimia tu washukuriwe sungu sungu popote walipoTulipanga chumba baada ya kupigwa exile na jamaa yangu usiku nikawa maeneo ya geto kama saa 7 usiku hapo tulishapanga na jamaa saa 8 nane anamtoa demu wake basi saa 7 ile sungu sungu wakanisomba aseeh nilizunguka nao mpaka saa kumi na moja wakanipelekwa kwa mwenyekit wa mtaa nilitoka pale saa moja asubuh . Siku ile ile nikatafuta dalali nikajisemea liwalo na liwe
Sana Sana kakaka,akir inasave mazingilaSure mkuu, mtoto wa kiume ukikaa tu home akili inaalala, hainyumbuki kabisa, m nilipo Anza kukaa ghetto ndo nikakutana na changamoto za Maisha ikabidi niongeze ufanisi wa kazi ninayoifanya
At least now I can work and earn money easily.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Hujui kupika maharage? Au hata kachumbari jombaaNimechoka kula wali Mkavu bila ata maharage hapa gheto.
Wengine tunasoma na bado tunaishi Gettho.Inspiration kwa kweli...!!! Vijana waache kuogopa maishaa...
TOKA HAPO NYUMBANI SIO SEHEMU SAHIHI KWAKO TENA LABDA KAMA BADO UNASOMA.
Kijana wa kileo kwa Afrika kwetu, ni we mwenyewe kupambana ukingoja ndg wakusaidue utaumia sana, pambana ww km wwDuuhhh Kazi kweli kweli.
Binafsi nimebaini Sisi weusi (waafrika) hatutaweza kuendelea kwa haraka na kuufukuza umasikini. Kila anaepanga anasema alipanga ili ipate akili ya maisha. Haya mmepata akili ya maisha mbona umasikini ungali umetamalaki?
Zamani katika baadhi ya jamii (mfano wasukuma) ulikuwa unaoa ukiwa nyumbani kisha unakaa nyumbani. Baada ya muda kupita unaruhusiwa kwenda kujitegemea. Hii nimeioana kwa wahindi na waarabu pia.
Familia inahitaji kushikamana na kuwa na upendo ili kutusua lakini kwa ngozi nyeusi maisha ni mapambano. Unapambana na Baba au mama utafika wapi zaidi ya kuangukia Pua. Tuzienzi mila zetu kwa kufanya utambuzi wa kubaini zilikuwa na tija ipi katika ustawi na maendeleo kwa ukoo na jamii
BBY financial services wewe ulianzaje kukaa get kabla sijakukwapuaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16]Wakati nlianzia huku
Kitu muhimu Ni money management
Kila shilingi inayotoka lazima iwe na umuhimu na ulazima wakutoka.View attachment 1473237View attachment 1473236
Mimi nilipopanga, wanaume hatufanyi usafi, ila unachangia hela ya vifaa vya usafi.Hivi changamoto za zamu za usafi ktk nyumban za kupanga zipoje
Hivi kuna nyumba ambazo wanaume hufanya usafi?Mimi nilipopanga, wanaume hatufanyi usafi, ila unachangia hela ya vifaa vya usafi.
Pita instagram mkuuKasebule kanakosa makochi ili kapendeze, nipeni fundi makini aka mtaalamu bei poa niweke sofa hapo View attachment 1475218
Zipo aisee, ila kabla hujalipia wanakuambia utafanya usafi? au umeoa?Hivi kuna nyumba ambazo wanaume hufanya usafi?
Kila mwezi naacha elfu 5000 kwa dada mmoja yeye atafanya usafi kwa niaba yangu, sijajua nyumba nyingine taratibu zaoHivi changamoto za zamu za usafi ktk nyumban za kupanga zipoje
Pole mkuu Mungu atakujalia rehema zake utasimama tena, amini wewe sio wakwanza kudondoka mimi nilichoma laki 750 kwenye kuku na juice mkuu hiyo nilidunduliza tmiaka 3 ya chuo na biashara yangu ya kwanza ndo ikala mweleka...mwenzenu nlikua gheto, biashara yangu ikabuma....nkakosa pesa ya kodi ...leo hii tarehe 14.06.2019 nmepiga kitu inaitwa U-turn
haya maisha sjui sie wengine tumeyakosea nn