Umeanza....kumependeza, hongera.Na nakuona na rasta hapaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza....kumependeza, hongera.
Wee kweli upo Sumbawanga?Nipo Sumbawanga mjini mkuu! Karibu
Hongera classmate, umejitahidi saanaahNimeingia chuo mwaka wa kwanza mwaka Jana ....ila nikaona kukaa hostel kwa mwanaume ni ngumu sana ..nliingia kitaa now naishi geto. jiko la gesi ndoo tatu na jiko la mkaa na kwa life la mbeya lilivo cheap kwa mambo ya msosi rahisi sana ....sema tu bado bufa.....kama RAIA wengi walivo pendekeza.....inshort maisha ya geto akili inatanuka
Ndiyo dear karibu sanaa😉Wee kweli upo sumbawanga?
350 iringa
Swanga wapi mkuu ,karibu hapa Andrews tukate majiNdiyo dear karibu sanaa[emoji6]
Wow napapata vizuri hapo mkuu! Nami nipo around!Swanga wapi mkuu ,karibu hapa Andrews tukate maji
Acha wivu baba watoto wewe! Hupendi marafiki??Akaribie wap?
Na kapicha kako ka kupigia nyeto mzeeeiyah!Ghetto la msela .View attachment 1505994
Ooooh sawa dea ntakuja huko.Ndiyo dear karibu sanaa[emoji6]
Acha wivu baba watoto wewe! Hupendi marafiki??
Ooh basi ila hawa ni marafiki tu babe! Punguza wivu huibiwi😀Nikinyamaza huaga unanichokoza babe[emoji23]
Ooh basi ila hawa ni marafiki tu babe! Punguza wivu huibiwi[emoji3]
Usijali babe!hamna wa kukuibiaAh hapana mim stak haya kwakwer
Labda ungekua mbaya
Ila kwa uzuri huo mimi naona moyo unauma[emoji24]
. ....sana mkuuHongera classmate, umejitahidi saanaah
Fine.. ....xana mkuu
pande zpFine.
Darpande zp
Yeaaah[emoji106][emoji106]